Kuna thread humu ilikuwa inatembea faster kwamba Paka ame dead kutokana na mashambulizi ya asubuhi . Nilijaribu kuufungua haikuwezekana na ukapotea ghafla
Kumbe,
Hivi unakumbuka Iran juzi kati imerusha makombora 200 kuelekea Israel ?, hapo hawakuanzisha vita wenyewe.
Vipi Israel kwa sasa ikituma makombora 100, hali itakuwaje hapo Iran, kama kwa sasa umerusha makombora chini ya 20 tu milio kama yote.
Angalia maendeleo aliyokuwa akiyafanya kwa taifa katika utawala wa Jiwe, wema hufunika wingi wa dhambi.
Ndio maana leo watu hawaoni ubaya wake kwa sababu alililetea maendeleo taifa kwa muda mfupi.
Kinachonishangaza ni kwa nini mpaka sasa hakuna msemaji kutoka upande unaoshutumiwa yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.