Recent content by SUSPECT2000

  1. S

    Mambo saba muhimu kuelekea maandamano ya kitaifa bila kikomo

    Habar kamanda[emoji137] Katika andiko hili Jambo la nane ni kuhusu maswala ya ajira ...wa Tanganyika huwa Hawaruhusiwi kuomba ajira za serikalini Zanzibar wakati wa zanzibar wao wanaruhusiwa kuomba ajira huku bara ...Zanzibar wakitangaza kazi wanaweka kigezo Cha kwamba lazima uwe na kitambulisho...
  2. S

    Ulimwengu wa roho upoje?

    Nilichokuelewa Mimi ..ni kwamba ..haujui na hauna ufahamu wowote kuhusu maswala ya kiimani na haupo tayari kuelewa au kuelimishwa ...lkn mi na maswali machache tu kwako je unaamini kwamba Mungu yupo au la? Pili je unaamini kwamba duniani Kuna wachawi ? Je unaamini kwamba Kuna mapepo ,na majini ...
  3. S

    KWELI Baadhi ya Dawa za kutibu Malaria zinaweza kusababisha mzio mwilini, ikiwemo Kuchubuka Uume na Midomo

    Ujana kumbe mfupi sana [emoji68]‍🦯 Si muda mrefu nilikuaga na miaka 25 sasaiv miaka 35 duuh . Ndo basi Tena mie weeh🧎
  4. S

    ZanAjira ni kwa Wazanzibari pekee?

    Hoja yako ni muhimu sana Inapaswa huu uwe mjadala mkubwa na wawazi . Unapaswa uanze maramoja sambamba na swala la bandari . Hoja hii lazima ipitishwe bungeni pia .ijadiliwe kwa kina na uwazi . Awezekani asee. Hawa jamaa wanatuchukuliaje bana[emoji1732]
Back
Top Bottom