Nyumba inapangishwa Tegeta Masaiti 1km kutokea Kibo complex na pia 1km kutokea nyuki sokoni.
Nyumba ina vyumba 2, sebule, dining, choo na bafu. Nje ina servant house ya vyumba viwili na mabanda ya kuku mawili yenye uwezo wa kufuga kuku broiler, kienyeji/
bata au sungura.
Eneo zima...
Habari tunakodisha vyumba vipo viwili ndani ya nyumba kubwa kwa bei ya 250,000 kwa kila chumba, ina seating room, kitchen, toilet na bathroom pamoja na dining room ndogo. Pia tunakodisha chumba cha nje kwa bei ya 150,000 kina choo na bath kwa ndani humo humo. Umeme na maji ya Dawasco yapo...
Karibuni nyumba yenye mabanda ya kuku pembeni inakodishwa tegeta masaiti inavyumba viwili ndani,choo na bafu, sebule na dining pamoja na nje Ina servant quarters ya vyumba viwili.chumba cha nje kinafaa pia kama utataka kuweka kijana wa kusimamia mradi wako wa kuku.nyumba na mabanda yapo ndani...
Karibuni nyumba yenye mabanda ya kuku pembeni inakodishwa tegeta masaiti inavyumba viwili ndani,choo na bafu, sebule na dining pamoja na nje Ina servant quarters ya vyumba viwili.chumba cha nje kinafaa pia kama utataka kuweka kijana wa kusimamia mradi wako wa kuku.nyumba na mabanda yapo ndani...
Mabanda ninakodisha Tegeta masaiti yapo mawili yenye uwezo ya kuweka Kuku 1300 kila moja.nakodisha kwa laki 2 kwa mwezi. Hio bei Ni pamoja na chumba cha pembeni kijana atakapolala wakati anasimamia Kuku. Mabanda yapo ndani ya eneo ninapoishi so yapo secure ndani ya ukuta.maji ya dawasco na umeme...
Mabanda ninakodisha Tegeta masaiti yapo mawili yenye uwezo ya kuweka Kuku 1300 kila moja.nakodisha kwa laki 2 kwa mwezi. Hio bei Ni pamoja na chumba cha pembeni kijana atakapolala wakati anasimamia Kuku. Mabanda yapo ndani ya eneo ninapoishi so yapo secure ndani ya ukuta.maji ya dawasco na umeme...
Ninakodisha nyumba ya kukaa ya vyumba viwili,dining,sitting room na servant quarters yenye vyumba viwili nje na mabanda ya Kuku kwa kodi ya 650,000/-kwa mwezi kodi napokea kwanzia miezi 6 au mwaka.yapo eneo la tegeta masaiti mwezi. Hio bei Ni pamoja na chumba cha pembeni kijana atakapolala...
Eneo Linauzwa bagamoyo Kiromo size in sqm ni 1406 sqm bei tzs 8.5m eneo lina documents Salama.sio mbali na barabara kuu ndani kwa 11km kutokea barabara kuu ya kwenda bagamoyo.kwa mawasiliano zaidi piga 0756661761/0754840408.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.