hbr wana jf jaman hebu nisikie mawazo yenu hivi ukiachana na sheria ya nchi yetu umri sahihi wa kuingia kwenye mahusiano ni upi maana watu kila siku vilio sababu kuumizana je mwingine ni utoto au cku hizi mapenzi yameshayeyuka
angalia ucje ukatoka kwny mtaro ukaingia kwny shimo refu dada wanaume wa aina hyo wachache sana, na ktk maisha hakuna ambaye hajawahi kufanya kosa he loves you yet MSAMEHE na usahau
nataka nione kama ana malengo na mimi coz akiulizwa always anasema bado mapema lalini huwa hazungumzii hilo niliwahi kumwambia tubreak up akakubali lakni tatizo la kwangu ninashindwa utoka huko
Habari wana JF,
Mi ni mgeni humu kuna kitu kina nitatiza nina mahusiano na mtu lakini kuna vitu niliobserve nikagundua ameweka mbele zaidi maswala ya sex na haonikani kupanga maswala ya maisha na mimi yaani huwa hazungumzii malengo ya mahusiano yetu kwa kusema kwamba bado muda namuamini sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.