Basi hata faida ipo mkuu, ni kuhangaika tu kwa wanadamu.
Maana sehemu sahihi ipo kabisa ya tendo hilo lakini unakuta mtu akili ishaathirika anaona sehemu panapotoka uchafu ndio pazuri zaidi.
Wanadamu tuna kazi sana
Kweli mkuu hapa umenena, unajua watu wanaspend sana nje.
Imagine ile bajeti ya uzinzi ukimpa mkeo kama zawadi tu tofauti na matumizi ya kila siku lazima kuna vitu vitaspark mambo yataenda vizuri
Unajua wanadamu huwa tuna tabia ya kujenga mazoea na kupoteza morali, kwa hiyo amsha amsha ya kila...
Tuweke utani pembeni uzinzi si jambo nzuri, hata mzinzi mwenyewe sidhani kama anaridhia/penda wanae, baba ,mama, dada ......... zake wawe wazinzi.
Kwa mtu anayejitambua anajua kabisa kwamba anakosea sema ndio vile kuacha inakuwa ngumu.
Tuweke utani pembeni, katika hii dunia sidhani kama kuna jamii inayounga mkono mchezo wa wanaume kushiriki mapenzi kinyume na maumbile na wanawake/ au wanaume wenzao kuliko mataifa ya magharibi (zipo nchi nyingine pia zisizokuwa ukanda huo)
Maana nchi zao ndio zinaongoza kuhalalisha hilo...
Kuhusu viatu ule ni mtaa wa Narung'ombe na maeneo yanayozunguka hapo.
Ukiwa mtaa wa Msimbazi na Narung'ombe ukienda kulia (upande ilipo klabu ya simba) maduka yapo mengi tu Japokuwa sasa kuna majengo yanabomolewa sana na kujengwa mapya.
Upande huo utapata karibia viatu aina zote, upande wa...
#2. VIDONDA VYA TUMBO
Baadhi ya vyakula, mimea, na virutubisho vinaweza kusaidia mwili wako kukabiliana na bakteria ambao mara nyingi husababisha vidonda vya tumbo. Miongoni mwavyo ni kama vile ;
A. JUISI YA KABICHI (MBICHI)
KAZI ZAKE
▪️Kuondoa/kupunguza asidi tumboni.
▪️Kupambana na...
KUELEWA VIDONDA VYA TUMBO
Vidonda vya tumbo ni vidonda kwenye utando wa tumbo, umio la chini, au utumbo mwembamba vinavyosababishwa na kuvimba/kubabuka kutokana na bakteria Helicobacter pylori (H. pylori) na asidi ya tumbo.
AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO
(i) Gastric ulcers : Hutokea wakati...
Kiongozi nami niongozee Japokuwa kidogo.
Ukiwa msimbazi pale pembeni ya kituo cha polisi (tandamti st.),
nyoosha moja kwa moja na tandamti kama unaelekea sokoni mpaka ukutane na nyamwezi st. (Tandamti na nyamwezi).
Ukishavuka tu mtaa wa nyamwezi (hutoona barabara kubwa ya mtaa maana hapo ndio...
Hata kwenye ndege kiongozi hao watu wapo, unamkuta kakaa kimya, ukimwambia anaanza sababu.
Binafsi iwe bus iwe ndege lazima nimueleze mtu kistaarabu tu, siti ya dirishani si ya kumuachia mtu isipokuwa kwa dharura ya kueleweka sana.
Mtanisamehe Wana JF ntakapochelewa kupost, ni kutokana na muingiliano wa majukumu mengine.
Nitakuwa nashare Kwa uchache post za tiba za ugonjwa mmoja kila siku 1-3.
Yeyote mwenye maarifa juu ya mada iliyopo mezani anakaribishwa pia.
#1. KUKOSA CHOO (CONSTIPATION)
Hali ya kupata choo mara chache au kupata choo kigumu, au ugumu wa kupitisha choo.
VISABABISHI
Kukosa choo kunatokana na sababu tofauti tofauti ikiwemo :
- Lishe yenye upungufu mkubwa wa nyuzi nyuzi (fibers)
- Unywaji mdogo wa maji.
- Matumizi ya baadhi ya...
Habari za asubuhi wana JF,
Leo nimependelea kushare nanyi baadhi ya tiba za nyumbani za matatizo ya mfumo wa umeng'enyaji chakula ambazo zinaweza kutumika kama huduma ya kwanza au tiba ya kuponya kabisa katika mazingira yetu ya nyumbani.
Sitojikita kuelezea magonjwa kwa ajili ya kutorefusha...
Pole sana kiongozi ni vizuri angefika hospitali kupata usaidizi wa kitaalamu.
Pia Kwa hapo nyumbani anaweza kutumia kabichi - anaisaga na kuitumia kama juisi, glasi moja (~ 100ml) asubuhi kabla ya kula chochote.
Kama ni tatizo kubwa sana anaweza kutumia kabla ya chakula cha mchana pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.