Sawa ila angalia mfukoni una sh ngapi afu uliza nduguzo wanalionaje life la leo!! Wanatamani kuendelea kuishi hivi??? Nafikiri kama hali ikiendelea hivi life span la mtz litapolomoka sana to about 25 yrs!!
Kaka Lissu tunaomba maoni yako katika hili maana ulishauri wakagoma wakafuata njia yao wakapotea now wanarudi ktk njia yako bila kuwa na mwongozo wako. Je wako sahihi?
Mleta mada hebu agiza pepsi bariiidi ntalipia!! Mhanga wa area D, Dom alishauri tujitafakari namna bora ya kwenda ila akapongezwa kwa smg!! Uzuri matokeo yanaonesha nani ni nani katika kufikiria na kuchambua sheria!! Get well soon bro!!
Watanzania wana nafasi kubwa sana kuipiku Kenya kimapato coz tuna fursa nyingi na raslimali watu kubwa. Jumlisha na nchi zinazotuzunguka zisizo na bahari! Sema hatujui tufanye nini zaidi ya kujifurahisha eti tunapendwa so tutatawala milele!!
Naomba akumbuke kuvuka maji atapofika Mwanza to Ukerewe coz hakuomba kura wala kurudi kushukuru. Labda anatekeleza maelekezo ya Ben alipoingia 1995 hakupata kitu mpaka alipowaletea Umeme na kivuko.
Kumbe kote tunatengeneza comedy!!!?? Kwann wafurahie kitu kisicho chao na si jambo geni maana siyo ndege ya kwanza kutua Entebbe au Bujumbura!! Hatutafika salama tukiendekeza misifa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.