Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Nimetoka kumsikia waziri hapa nikasema yaleyale ya bukoba. Michango imefika milioni 900 na ushee.
Kati ya hiyo milioni 200 na ushee wamelipa wahanga, wamelipa watoa huduma kwa kujilipa laki 4 kila mtu znazobaki watajenga mnara wa kumbukumbu na kujenga wodi tatu.
Ule mfuko wa maafa chini ya waziri mkuu?
Hii ndio CCM mpya
Kati ya hiyo milioni 200 na ushee wamelipa wahanga, wamelipa watoa huduma kwa kujilipa laki 4 kila mtu znazobaki watajenga mnara wa kumbukumbu na kujenga wodi tatu.
Ule mfuko wa maafa chini ya waziri mkuu?
Hii ndio CCM mpya