Jamani hapo ndipo naona Lowassa ni mwanasiasa aliyekomaa.
Sasa Lissu anaponda kila kitu lakini Lowassa pamoja na fitina zilizotokea anamkubali Magufuli.
Kipindi cha kampeni sikuwahi kuona Lowassa anamponda Magufuli wala sijawahi kuona Magufuli anamponda Lowassa.
Lakini lissu yeye ni kuponda...
Waziri Mkuu wa awamu ya 4 Ampongeza Dr. John Magufuli.<br />Aliyekuwa Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mh. Edward Lowassa ampongeza Rais John Pombe Magufuli kwa hatua aliyoichukuwa ya kusimamia rasilimali za nchi kikamilifu huku akidai kuwa tiba ya matatizo yote hayo ni...
Kumbuka alifukuzwa hata na familia ya Nyerere Butiama. Huyu mtu hafai kabisa hana busara, mropokaji halafu nashangaa watu kumwelewa sana Lissu, kwa lipi?
Kama alimtukana Nyerere siwezi kushangaa kumtukana na kumdharau Magufuli. Mwanzo watu walijua Lissu ni kichwa lakini sasa anaonekana ni...
HII KITU NI SAWA KWELI,hoja sana hii!
Nakusalimu Wakili Msomi mwenzangu na Rais wangu wa Mawakili Tanganyika na Mbunge wa nchini mwangu, Tundu Lissu. Nimesoma kwa hatua, undani, umakini na kwa uelewa mkubwa hoja yako uliyoiweka hapa kuhusu masuala ya madini na kile ambacho Rais Magufuli...
Tatizo watz wanaenda kishabiki,sasa kama brela ndiyo wasajili na wanakwambia hakuna hii kampuni unataka nani anayesajili mwingine athibitishe kasajiliwa,watu whawajielewi eti yanatetea wezi
Lisu bana kuna wakati unatakiwa kuwa positive siyo muda wote siasa za vyama,tuambie adui huyu tunamkabili vipi.
Maana kama mimi nilikuwa nakuelewa sana Lisu ila sasa sikuelewi hebu badilika.Suala lililopigiwa kelele raisi anasema haya twende wewe unapiga mawe
Hebu kuwa positive tufocus jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.