Recent content by superchager turubo

  1. S

    Kwanini wanashauri usivute gari lenye Automatic Gearbox ukipata break down, badala yake upakie kwenye Flatbed Truck

    daa wee jamaa kwamaelezo haya nimegundua kuwa kumbe uko mweupe kabisa kwenye fani ya ufundi magari. nyie ndio vijana makinda mnao ya giabox zawatu. narudia mara yamwisho kukuelekeza kijana nihivii👉 ukitaka kuweka oil ya giabox kwenye auto cars unaweka oil kama inaingia Litasita unaweka nne...
  2. S

    Kwanini wanashauri usivute gari lenye Automatic Gearbox ukipata break down, badala yake upakie kwenye Flatbed Truck

    wee wee nishajua nibwege kumbe.yani uweke oil ukatembee ndio uludi kupima Tena kama ipo levo au haipo levo? automatic ukiweka oil yagia box unaiwasha hapo ikae sailensa ukipima ndio unapata kipimo sahihi.sio Hadi uende kutembea ndio urudi kupima. kajifunze Tena ufundi mkuu bado hujaiva.
  3. S

    Kwanini wanashauri usivute gari lenye Automatic Gearbox ukipata break down, badala yake upakie kwenye Flatbed Truck

    wee jamaa muongo sana.hivi ushawahi kufanya sevis ukaona jinsi oil inavyo Toka?au ushawahi kufungua sampo ukaona oil inavyo Toka?au ushawahi kufungua valvu ches ukaona oil inavyo Toka? kama ushawahi kufanya vyote nilivyo kuuliza hapa basi Acha kuropoka lakini kama hujawahi basi nihaki Yako kuropoka
  4. S

    Kwanini wanashauri usivute gari lenye Automatic Gearbox ukipata break down, badala yake upakie kwenye Flatbed Truck

    Yani hata shepu yagiabox ulio idanlod na kutuwekea hapa huioni? unapo jaza oil sampo Ina jaaa oil Hadi kipita valvu ches Sasa hebu gugo Tena uone umbali wa valvu ches na clutch ni kias Gani kama sio púa na mdomo.
  5. S

    Kwanini wanashauri usivute gari lenye Automatic Gearbox ukipata break down, badala yake upakie kwenye Flatbed Truck

    nimevuta gari moro dar tanga dar kibaha dar.speed yakawaida.huwezi kuendesha spid huku unavuta mwenzie.
  6. S

    Kwanini wanashauri usivute gari lenye Automatic Gearbox ukipata break down, badala yake upakie kwenye Flatbed Truck

    Acha kujifanya mjuaji wewe.unataka kuniaminisha kuwa ukivuta gari kwanamna ninayo SEMA utaharibu nini kwamfano? Mimi nimeanza kujifunza kwavitendo nikaiva nikaenda veta.chakusikitisha hawa jamaa waveta kwenye kuelezea gari kwamaneno na maandishi huwawezi🤣njoo kwenye vitendo Sasa Hamna kitu...
  7. S

    Kwanini wanashauri usivute gari lenye Automatic Gearbox ukipata break down, badala yake upakie kwenye Flatbed Truck

    wee itakuwa nifundi umeme bila shaka.mnakuwaga naubishi wakijinga sana.vitu vyenyewe mnavyo bishia uzoefu navyo Hamna mnaishia kusoma maelezo tuu mlio karirishwa mechanics tunaelewa tukiwaambia muache ubishi.
Back
Top Bottom