daa wee jamaa kwamaelezo haya nimegundua kuwa kumbe uko mweupe kabisa kwenye fani ya ufundi magari.
nyie ndio vijana makinda mnao ya giabox zawatu.
narudia mara yamwisho kukuelekeza kijana nihivii👉
ukitaka kuweka oil ya giabox kwenye auto cars unaweka oil kama inaingia Litasita unaweka nne...
wee
wee nishajua nibwege kumbe.yani uweke oil ukatembee ndio uludi kupima Tena kama ipo levo au haipo levo?
automatic ukiweka oil yagia box unaiwasha hapo ikae sailensa ukipima ndio unapata kipimo sahihi.sio Hadi uende kutembea ndio urudi kupima.
kajifunze Tena ufundi mkuu bado hujaiva.
Yani hata shepu yagiabox ulio idanlod na kutuwekea hapa huioni?
unapo jaza oil sampo Ina jaaa oil Hadi kipita valvu ches Sasa hebu gugo Tena uone umbali wa valvu ches na clutch ni kias Gani kama sio púa na mdomo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.