Recent content by Superb2014

  1. S

    Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Kama hataki kubadilika achana naye rudi kwa wazazi wako ujipange upya, Mungu akusaidie.
  2. S

    Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Kuna maisha bila Ndoa hakuna haja ya kuishi kwenye Ndoa ya mateso.
  3. S

    Naombeni ushauri kuhusu ndoa

    Makungwi watakusaidia.
  4. S

    Nimefika mwisho wa kufikiri.... Nifanyeje? Naomba msaada wako

    Pole sana Mungu akupiganie afungue milango.
  5. S

    Nawezaje kupata 1 milioni ya dharura kwa njia ipi ya haraka

    Pole sana Mungu akuvushe katika hiyo changamoto unayopitia.
  6. S

    Sheikh Jamaladin Osman: Mumeo akitaka nyuma kwenye tendo la ndoa, mpeleke mahakamani

    Siyo michepuko tu, Ndoa nyingi siku hizi zinavunjika kwasababu hiyo.
  7. S

    Kwenu wanawake wenzangu

    Wanaume wenyewe hawaeleweki ukikubali mapema ni shida.
  8. S

    Hivi kuna jambo linaloumiza akili na moyo na lenye majonzi kupita kufiwa?

    Kifo kisikie kwa Jirani, Kifo kinaumiza sana.
Back
Top Bottom