Recent content by Super Sub Steve

  1. Super Sub Steve

    CRDB is no longer, ni benki ya kuihama

    Ulisoma vizuri tangazo?
  2. Super Sub Steve

    CRDB is no longer, ni benki ya kuihama

    We umekosa huduma gani ambayo walisema itakwepo?
  3. Super Sub Steve

    CRDB is no longer, ni benki ya kuihama

    Rudia kusoma lile tangazo vizuri
  4. Super Sub Steve

    CRDB is no longer, ni benki ya kuihama

    Mbona walitoa tangazo mapema? Hukuwa na taarifa?
  5. Super Sub Steve

    Mwanamtandao Rostam Aziz kufanya mahojiano maalum leo Septemba 2, 2025 kupitia UTV

    Nadhani wameogopa comeback ya Polepole kesho
  6. Super Sub Steve

    GE2025 Dkt. Nchimbi: CCM kugharamia matibabu ya saratani na figo ndani ya siku 100 za kwanza madarakani

    Kabla ya utawala wa Samia matibabu ya Kansa ya shingo ya kizazi ilikuwa free,umeme kuingiza majumbani ilikuwa 27000,baada ya Samia kuwa in full charge kila kitu kikabadirika. Matibabu ya kansa zote ikawa ni malipo.Umeme ukapanda bei,baada ya uchaguzi huu tegemea Sukari kupanda bei mara dufu
  7. Super Sub Steve

    Mwaka 2016-2017, Lissu bila kujua alitumika na “CCM mtandao” kumhujumu Magufuli

    Nadhani Magufuli hakuwahi jua kuwa Lissu alikuwa rafiki yake na adui zake walikuwa wana CCM wenzake
  8. Super Sub Steve

    Polepole apuuzwe kuhusu gesi

    Nimeunganisha Umeme kwa elfu 27 na sio REA
Back
Top Bottom