Recent content by Super Sub Steve

  1. Super Sub Steve

    JamiiForums Tanzania Madogo wa Kiume, Acheni Tabia ya Kuja Inbox Kuomba Hela

    Hivi huwa wanafankiwa kweli?
  2. Super Sub Steve

    JamiiForums Tanzania Nagawa bure hivi vitabu vyangu

    Mwamba inaonekana hesabu hazichezi mbali
  3. Super Sub Steve

    JamiiForums Tanzania Chuo Cha udsm kimenundikia hivi je kimenikataa au niendelee kusubili

    Gen Z huyo,ufaulu mkubwa ila uelewa wa kawaida
  4. Super Sub Steve

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali ichunguze uendeshaji wa Shule ya Sekondari Makurung, Kijiji cha Makurunge - Kisarawe

    Kuhusu kukatazwa wamama kuuza chakula shule hilo sio kulalamika ni utaratibu wao sio lazima hao wamama wakauze hapo chakula. Lakini all in all hili andiko wala sio la mzazi ila ni la miongoni mwa walimu wa hapo.Ishu ni mgongano wa maslahi tu.
  5. Super Sub Steve

    JamiiForums Tanzania Degree ngumu kusoma hapa Tanzania

    Kimaslahi zimeakaeje? Au ni ngumu tu maslhai hamna
  6. Super Sub Steve

    JamiiForums Tanzania Degree ngumu kusoma hapa Tanzania

    Kimaslahi zimeakaeje? Au ni ngumu
  7. Super Sub Steve

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Paulo Makonda hapana,Nanauka, hapana,Tulia akson Hapana,Having Kafulila hapana
  8. Super Sub Steve

    JamiiForums Tanzania Aende degree ipi kati ya hizi: Civil, Mechanical, Electrical, Mineral au Data Science? Matokeo yake ni GPA 1.6 (PCM)

    Kila Kozi mtandaoni inapondewa.Kuna mtu kasema madaktari wengi wana stress,sababu walichosoma na wanacholipwa ni tofauti,sasa vijana wetu wakasome kozi zipi?
  9. Super Sub Steve

    JamiiForums Tanzania Jamani naomba ushauri nimesoma form six PCM kwa ufaulu wa EED kuna watu wamenishauri kwamba naweza kusoma degree kwa baadhi ya vyuo binafsi

    EED NI POINT 4 ambayo ni minimum requirement kwa vyuo vingi.Omba St Joseph Dar,awamu za kuomba zipo nyingi.Omba vyuo vingi casual ambavyo havina ushindani sana
  10. Super Sub Steve

    JamiiForums Tanzania Marathon ya Millioni 334 ya CHADEMA, sijui kama CCM wanaelewa logic yake

    Umeelewa logic ya mwandishi?
  11. Super Sub Steve

    JamiiForums Tanzania Kama una mpango wa kuanzisha shule binafsi ya sekondari tazama kwanza matokeo ya kidato cha sita (ACSEE results) kwa shule za serikali

    Soko lipo shule ya msingi. Kwa o level pia soko bado lipo hasa shule ikiwa inaperform vizuri.
Back
Top Bottom