Kuhusu kukatazwa wamama kuuza chakula shule hilo sio kulalamika ni utaratibu wao sio lazima hao wamama wakauze hapo chakula.
Lakini all in all hili andiko wala sio la mzazi ila ni la miongoni mwa walimu wa hapo.Ishu ni mgongano wa maslahi tu.
Kila
Kozi mtandaoni inapondewa.Kuna mtu kasema madaktari wengi wana stress,sababu walichosoma na wanacholipwa ni tofauti,sasa vijana wetu wakasome kozi zipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.