mgombea urais kwa tiketi ya ccm bwana John Pombe Magufuli pamoja na mgombea mwenza wamekuwa wakitoa ahadi kuwa endapo wakichaguliwa kuiongoza tz watatoa tsh mil 50 kila kijiji, hapa ndipo najiuliza maswali hela hizi watazitoa wapi? shule hazina madawati,hospital hazina dawa na mengine meeegi kwa...
Kwa hali iliyopo sasa hivi ni dhahiri kuwa watanzania waliowengi wamekichoka chama tawala chama cha mapinduzi CCM.
kuchokwa/kuchukiwa kwa ccm kumetokana na viongozi mbalimbali wabunge,mawaziri hadi juu kabisa kushindwa kutekeleza ahadi walizoahidi kwa wananchi,pia kutete uovu,kupitisha...
dhambi zenu zijapokuwa nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama sufu,zijapokuwa nyekundu kama damu zitakuwa nyeupe kama theruji, waacheni waje ukawa watakaswe, maana ukawa ni kijito cha utakaso
asanteni polisi kwa kuisaidia UKAWA kuing'oa ccm madarakani..watanzania wa leo sio wale wa kipindi kileeee cha wewe kova ulipokuwa unaenda shuleni na maandazi mfukoni..hiki ni kizazi kipyaaaa hongera kova endelea kuipaisha Ukawa
ni vurugu ktk ofisi ya chama cha mapinduzi ccm vurugu hizi zinatokana na watia nia ambao ni gaudence kayombo ambaye ameshindwa dhidi ya bw msuha kwa jimbo la mbinga vijijini.
wakati jimbo la mbinga mjini kuna vurugu kati ya sixtus mapunda dhidi bwana mbunda,,nipo live ofisi ofisi ya ccm ambapo...
najiuliza sana,hv lowasa ni kitu gani hasa kimemfanya awe yuda kwa ccm? ina maana ile fomu aliyochukua kugombea kwenyw nafasi ya urais kupiti ccm ulikuwa ni geresha tuuuuu?
jambo gani ulilofanyiwa lisilo weza sameheka?
Lowassa umeyaanza maisha mapya ndani ya chadema/ukawa huku maisha ni tofauti na kule ulikotoka CCM.
:- UKAWAni vitendo siyo maneno.
:- UKAWA ukweli mbele uongo nyuma
:- UKAWA hakuna mheshimiwa ukileta za kuleta unatimuliwa muulize z z k
:- UKAWA wizi,ufisadi no
:- Ukiwa UKAWA ni lazima CCM...
Dalili za chama tawala ccm zimeanza kujionyesha wazi. wananchi waliowengi wazee kwa vijana wanaapa kutoipigia kura ccm kutokana na kushindwa kuongoza taifa hili na hasa maisha kuzidi kupanda kila kukicha..ikiwa uchaguzi utafanyika october 2015 ni wazi ccm itatolewa kwa knockout na...
Mpinge mkate au mgome ukweli ni huo kwamba ccm imekaa na kuona imechafuka nchi nzima hata nje ya nchi-wakakaaa na kujadili watauzimaje moto wa UKAWA? wakaona wamchukue msaka tonge zzk ili atumike kama pe$d<>i ili kuisaidia ccm isidondoke. lengo la ccm likiwa ni kuwagawa wapiga kura ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.