Wadau jamani vipi hali ya usafiri kwa magari kutoka Dar kwenda Arusha. Nina safari ya huko tarehe 28 vipi gari zinapatikana au za shida?
Wanaofahamu naomba wanijuze kama msongamano umepungua.
Jamani najua humu Kuna wataalamu wengine naomba mnisaidie,
Nina mzunguko wa siku 28 ,nilisex siku ya 10 baada ya kuanza period yangu na nikapata mimba.
Je, hapo mtoto anaweza kuwa wa jinsia gani?
Nyumba iwe maeneo ya mianzini au sanawari iwe double(chumba na sebule) ikiwa self itakuwa vizur Zaid isiwe mbali na barabara kuu, kodi itatolewa kulingana na ubora wa nyumba mawasiliano 0768600941
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.