Recent content by sumia

  1. S

    Vyeti muhimu kuverify ajirapotal

    Msitishe watu
  2. S

    Usafiri Dar kwenda Arusha

    Wadau jamani vipi hali ya usafiri kwa magari kutoka Dar kwenda Arusha. Nina safari ya huko tarehe 28 vipi gari zinapatikana au za shida? Wanaofahamu naomba wanijuze kama msongamano umepungua.
  3. S

    Naomba kujuzwa namna ya kutambua jinsia ya mtoto katika hali hii

    Nilikuwa period kwa siku nne na hizo siku kumi nimeanza kuhesabu tangu siku ya Kwanza naona damu
  4. S

    Naomba kujuzwa namna ya kutambua jinsia ya mtoto katika hali hii

    Jamani najua humu Kuna wataalamu wengine naomba mnisaidie, Nina mzunguko wa siku 28 ,nilisex siku ya 10 baada ya kuanza period yangu na nikapata mimba. Je, hapo mtoto anaweza kuwa wa jinsia gani?
  5. S

    Natafuta gari vitz,or Ist

    Kichwa cha habar kinajieleza naombamwenye nayo atoe sifa zake bei na picha niweze kutoa maamuz
  6. S

    Natafuta nyumba ya kupanga Arusha

    Nime ku PM mkuu
  7. S

    Natafuta nyumba ya kupanga Arusha

    Ipo maeneo ya wapi iyo
  8. S

    Natafuta nyumba ya kupanga Arusha

    Tusaidiane jamani
  9. S

    Natafuta nyumba ya kupanga Arusha

    Nyumba iwe maeneo ya mianzini au sanawari iwe double(chumba na sebule) ikiwa self itakuwa vizur Zaid isiwe mbali na barabara kuu, kodi itatolewa kulingana na ubora wa nyumba mawasiliano 0768600941
  10. S

    Android phone for 50,000

    Simu bado ipo
  11. S

    Android phone for 50,000

    Ok karibu
  12. S

    Android phone for 50,000

    Bado ipo Mkuu nipe pesa iyo
  13. S

    Android phone for 50,000

    Yes Ina 3g
  14. S

    Android phone for 50,000

    Ongeza 9000 tu
Back
Top Bottom