Recent content by Suma 6663

  1. Suma 6663

    Warning kuhusu simu za Galaxy S4, S3, Note 2 za kichina

    Hawa Wakandarasi ni noma kwel kitu wameshindwa kutengeneza ni Roho tu vingine vyote they copy & paste ileile yenyewe i salute them ila hizi simu hazina shida sana coz they do same work as Original tatizo ni Quality & Quantity Mkuu....!
  2. Suma 6663

    Ni hatari kwa mwanaume kuoa mwanamke wa hivi..

    Ajira imekua ngumu Mkuu wakina Dada inabidi wapige kazi kupitia miili yao Uchumi wanao ya nini waukalie hiyo ndio misemo yao.Wacha wapige kazi kazi ni kwetu sisi watoto wa Kiume we have to watch out.....!
  3. Suma 6663

    Ukatwe Sunna Au Ubaki Na Mkono Wa Sweta? Chagua Moja...!!!!

    Hakatwi Mtu huku anakatwa Duuu....! Bora Vodacom "Kazi ni kwako"
  4. Suma 6663

    Mh. Lema amepoteza political credibility

    Tatizo Watu wanashabikia vyama ila kiukwel Mbunge wetu anapenda sana kukurupuka nahisi kama anavutaga Sigara kubwa?
  5. Suma 6663

    Mh. Lema amepoteza political credibility

    Nchi hii Watu wanaofikiria kwa kutumia MAKALIO ni wengi sana hivyo akitokea kiongozi anayekurupuka kama Lema atapata wafuasi wengi sana 2015 hatutaki hii Bogus...!
  6. Suma 6663

    Mh. Lema amepoteza political credibility

    Kwanza mpaka leo najutia sana kupoteza Kura yangu kwa kumpigia Mtu ambaye niwa kukurupuka tu huongozi hauwendi hivyo Mbunge Arusha hatuna
  7. Suma 6663

    Hii ndio picha ya Noha ilivyokula mzinga na kuua watu palepale barabara ya Moro -Dodoma

    Its very sad may God rest their soul in peace.Say Amen.....!
  8. Suma 6663

    HAYA SASA!!!!! Kifaa maalumu cha kufungia NYETI ZA KIUME KWA KUFULI

    Duuu....! Kwel Mzungu sio Albino hapa hakuna tena kuvaa Model
Back
Top Bottom