Recent content by sultansuleyman

  1. S

    GE2020 Lipumba: Mgombea Ubunge Temeke (CUF) alipata kura sifuri kwenye kituo ambacho yeye na familia yake walienda kupiga kura

    CUF kwenye kampeni mgombea urais tu hakuwa na watu Sasa mbunge apate wapi kura
  2. S

    GE2020 Lipumba: Mgombea Ubunge Temeke (CUF) alipata kura sifuri kwenye kituo ambacho yeye na familia yake walienda kupiga kura

    Huyo mwenyewe ameshindwa kusema inaonekana ajajipigia kura ajiamini hata mwenyewe.
  3. S

    GE2020 Balozi wa Marekani nchini Tanzania: Serikali ihakikishe usalama wa Viongozi wa Upinzani, iwaachie waliokamatwa na kurejesha mawasiliano kwa wananchi

    Kama wamevunja SHERIA kuwa mpinzani kisiwe kigezo Cha kutumia fursa hiyo kuvunja amani ya nchi ambayo watu walipoteza maisha yao. Mtu KWa ajili ya maslahi binafsi ndo anataka kuvunja amani embu tujiulize 2015 waliunda ukawa na ulikuwa na nguvu kubwa na kupitia umoja ule wabunge wapinzani...
  4. S

    GE2020 Balozi wa Marekani nchini Tanzania: Serikali ihakikishe usalama wa Viongozi wa Upinzani, iwaachie waliokamatwa na kurejesha mawasiliano kwa wananchi

    Hao Marekani wenyewe wana uchaguzi kwa hiyo naomba waendelee na uchaguzi waache kufatilia mambo yasiyo wahusu
  5. S

    GE2020 CCM yataja siri ya wagombea wake kutoenguliwa NEC

    Tatizo nyie shule ndogo mnachagua watu wawe wagombea hata kusoma awajui CCM Ina hadhina kubwa ya viongozi na inatengeneza viongozi atuokoti tu maana hapa Hadi mawakala wenu shule zeroo. Wenyewe mnalaumiana.
  6. S

    GE2020 CCM yataja siri ya wagombea wake kutoenguliwa NEC

    Nani mgombea wenu alisema magufuli ajaweka picha na kuasaini ila picha zimewekwa na saini imewekwa na KWa hiyo rufaa yake aikuwa na vigezo
  7. S

    GE2020 Kosa kubwa walilofanya CCM kwenye kampeni zao ni kupoteza muda kusifia yaliyopita badala ya kueleza watafanya nini

    Chama chochote ambacho kipo madarakani lazma kieleze yaliyo waahidi wananchi kipindi kilichopita yametelezwa KWa kiasi gani na wanaahidi nini KWa kipindi kijacho na CCM inaongozwa na ilani ndio mwongozo wetu Sio nyie sera zenu Lila siku ni umbea tu na sio kusema nini mtawafanyia wananchi KWa...
  8. S

    GE2020 Yaliyojiri katika mapokezi ya Tundu Lissu leo Oktoba 19 mikoa ya Kilimanjaro na Arusha

    Huyoo shogaa akaapiswe ubeligiji akiwa anaolewa sisi hapa tunamtaka MAGUFULI mzalendo na mnyenyekevu
  9. S

    GE2020 Yaliyojiri katika mapokezi ya Tundu Lissu leo Oktoba 19 mikoa ya Kilimanjaro na Arusha

    Tutampeleka shoga KWa mume wake kule ubeligiji maana Sasa hivi anatafuta kupendwa na mume sisi chaguo letu ni Magufuli [emoji736][emoji736][emoji736]
  10. S

    GE2020 Dkt. Magufuli: Nimempa Bakhresa hekari 10,000 azalishe sukari

    Wewe nawe mjinga huyo bakharesa emepe2a atajenga viwanda vitatoa Ajira KWa watu lakini fursa KWa wakulima kuuza mazao yaoo
  11. S

    Sasa ni wazi ruzuku ya CHADEMA ilitumika kwa kukuza Organizisheni badala ya majengo

    Wezi nyie atuwataki kabsa kura KWa magufuli [emoji736][emoji736] [emoji1241]
  12. S

    Sasa ni wazi ruzuku ya CHADEMA ilitumika kwa kukuza Organizisheni badala ya majengo

    Hiyo luzuku mbowe alikuwa anachukua pesa KWa wabunge wa viti maalumu 1.5 million kila mwezi wabunge wa majimbo laki 5 kila mwezi
Back
Top Bottom