Recent content by sultanrama

  1. S

    Airbus A380 kwa mara ya kwanza imetua Tanzania uwanja wa JNIA

    Kama iliweza kutua,itaruka tu hata kupitia road la g/mboto itaruka kwa dharura pia.
  2. S

    Sofa zinauzwa ziko tatu na meza ya Tv

    Nahitaji meza ya tv,punguzo ngapi? bichwa la kambale
  3. S

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Ok,ngoja nikusanye kidogo,namba nimechukua nimevutiwa na unavyojieleza na info zako zipo direct,safi kabisa.
  4. S

    Kitendo cha Kanisa kufungisha ndoa ya Joti huku akiwa amenyoa mtindo wa kihuni ni sahihi?

    Vp kinamama nao kuna utaratibu gani wa nywele,kwa maana wengine huingia na nywele sio za kwao?afadhali hata ya huyo aliyeingia hivyo.
  5. S

    Uchumi wa Jamaica unategemea nini sana?

    Nahisi kuna jibu unalitaka ila unazunguka sana na bado hujalipata.
  6. S

    Polisi FFU Ukonga nimewakosea nini? Nimepigwa mimi,mke wangu na Mama mkwe bila kosa lolote. Nifanyaje kuchukua hatua?

    Nilipita na pikipiki jana,nilipowaona niliongeza mwendo,wameficha sura na wengine kuvaa makoti nilijua majambazi wanakusanya mauzo,ila taarifa zipo polisi kwa usiku uleule,sasa hapa ndio napata picha kwann hawakufika eneo la tukio,kumbe ni operesheni maalum,poleni wahanga.
  7. S

    Wazee wa kujilipua kimaisha (risk takers) kwa style tofauti tukutane hapa!

    Ni kweli bila mungu kumsimamia ningekuwa nimeshampoteza brother,maisha hayana njia ya mkato ila formula tu. bichwa la kambale
  8. S

    Wazee wa kujilipua kimaisha (risk takers) kwa style tofauti tukutane hapa!

    Pamoja mkuu,maisha ni changamoto na hayana njia moja kama kwenda mbagala,muhimu ni kujitoa na kujaribu kwa kile unachokiamini(uthubutu)bila kujali watu watasema nn ukifeli,tunawaza maisha kabla ya kuwaza kufa. bichwa la kambale
  9. S

    Wazee wa kujilipua kimaisha (risk takers) kwa style tofauti tukutane hapa!

    Wapo wengi tu,mfano my brother alienda south africa miaka kumi iliyopita,amefight sana mpaka akaona anafeli akaamua kuingia kwenye dili haramu hapo ndipo ilikuwa mtihani,walidhulumu pesa ya biashara ya mzigo,kilichowapata hata sahau,mwenzake aliuawa mbele yake kwa kupigwa kisu cha tumbo,yeye...
  10. S

    Wazee wa kujilipua kimaisha (risk takers) kwa style tofauti tukutane hapa!

    Wish all the best mkuu,asiejua njia hapotei. bichwa la kambale
  11. S

    Wazee wa kujilipua kimaisha (risk takers) kwa style tofauti tukutane hapa!

    Nilipata pesa ktk kazi za vibarua baada ya kumaliza form six kama milioni 2 hivi,nikifikiria nifanye nn na hizi pesa,kila mtu nunua kiwanja,je kiwanja kina mantiki kwa mimi ambae sina kipato cha ujenzi,nikaona haina tija kusubiri mpaka aje mtu nimuuzie kipori sio mchakato wa muda...
  12. S

    Nguvu kuu 7 alizonazo mwanamke

    Namba 1 utata,kweli future yenu inaonekana kwa kutumia eps sasa mbona kila siku mnaingia mazima na vilio juu. bichwa la kambale
Back
Top Bottom