Kama JKNIA kwa kirefu una maananisha "Julius Kambarage Nyerere
International Airport", basi kifupi cha jina hilo kilibadirishwa enzi za Mhe. Basil Mramba wakati akiwa Waziri wa Ujenzi kwa sababu eti Wazungu walikuwa wakishindwa kulitamka jina la "Kambarage" na hivyo kifupi chake kuwa "JNIA"...
Ni kweli kabisa baadhi ya Wana siasa wetu siyo wa kuwaamini kabisa. Haswa huyo uliyemtaja ni mnazi wa mkubwa wa upande wa pili anaweza akafanya lolote lile.
1. Mahali : Kitunda Relini-Ilala Dar es Salaam.
2. Mtaa : Majani ya Chai/ Kwa Traffic
3. Umbali : Kutoka Barabara ya lami dakika 7
4. Kiwanja: Sqm 357
5. Hati: Hati ya Serikali ya Mtaa
6. Vyumba : 3 ( 1 Self Contain, na vyumba 2 vya kulala. Sitting room, Dinning room, Public Toilet na jiko.
7...
Kwanza Kenya wenyewe Shirika lao la KQ limewashinda wanataka kuuza hisa zake. Tunatakiwa tuwe makini katika jambo hilo tusiingie kichwa kichwa tutajuta mbeleni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.