Wakuu kila nilipokuwa nataka ku coment ktk huu uzi, moyo ulinambia acha mihemko yaan takriban 2 years now, nimekuwa nikisoma TU bila kureply,
ASEE LEO NAKOMENTI KWA WAPAMBANAJI WENZANGU,
Nimerraaaaaambaaaaaa asali na rasmi ntaendelea na Jukwaa la GEREJI 🙃
Kila la kheri wapambanaji wenzangu
Habari wakuu
Kuna jumbe imeingia katika simu ya mzazi wangu kutoka kampuni yenye jina la bodmas ikimtaja mdogo wangu aliemaliza kidato cha nne na kufaulu vizuri, ikisema hivi.
"HABARI, BODMAS IMEMDHAMINI (UJKE NÀTIKULD) KUSOMA CHETI/DIPLOMA (ADA YOTE/NUSU). FOMU BURE!
FIKA 3-8/3/2025 AU PIGA...
Habari wakuu
Kuna jumbe imeingia katika simu ya mzazi wangu kutoka kampuni yenye jina la bodmas ikisema hivi.
"HABARI, BODMAS IMEMDHAMINI (UJKE NÀTIKULD) KUSOMA CHETI/DIPLOMA (ADA YOTE/NUSU). FOMU BURE!
FIKA 3-8/3/2025 AU PIGA 0623.... / 0714....."
Je Hawa ni wa kweli?
Sijasema uniamini Mimi Bali nimekuomba utulivu mkubwa kusoma biblia na uielewe, wala usilete uongo na kujiongezea maandiko ikiwa ya mwanzo yamekushinda kujibu.
NAAMINI WENYE KUTAKA KUELEWA NA WATAELEWA ILA WASIOTAKA BASI
Asee kuongea na wakristo inafurahisha kabisa ,KITU KINAELEWEKA LAKINI WANAPINDISHA KABISA AFU MTU UNAONA ,
Hapo TU ktk YOHANA 20 11 -17 nimeamua basi niende Kwa hatua pasipo kuongeza na kupindisha MANENO lakini unajaribu kuuma MANENO na kujichekesha
Hapa hakuna ushahidi huyu alikuwa simion na sio yesu, simion alietoka mashamban ndio alibebeshwa msalaba na sio yesu.
Biblia imeeleza kuanzia kumkamata simion ,kwenda Golgotha mpaka kuwatundika watu watatu AMBAPO KATIKA WALE WATATU HAKUKUWA NA YESU PALE
Ukitaka nijibu huku inamaana umekubali yesu hakufa wala hakutaka kufa
Kila mtu atabeba zambi zake na kubwa
MUNGU MMOJA TU na yesu si mungu
Kwa kuwa umeshindwa kithibitisha na ukitaka kujua SIPINDISHI MANENO NATUMIA BIBLIA YENU HIYO HIYO AMBAYO INA MAPUNGUFU YOTE
Dah jaman jaman wakristo mpaka hii pia huelewi kuwa YESU HAKUTAKA KUFA KABISA, kulalamika kote na kuomba KIKOMBE KILE CHA KUFA KIMUEPUKE, bado mnalazimisha kuwa YESU ALITAKA KUFA KWA HIARI KWELI,
Tafadharini tulizeni akili na msome Kwa utulivu mbona vitu vinaeleweka, YAAN YESU ATAKE KUFA KWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.