Haya mambo yapo kila sehemu, kumbuka hakuna mtu anaetaka ufanikiwe hapa duniani japo wachache wana mioyo mizuri tu kwani hii ni tabia ya mtu tu.
Cha muhimu usikate tamaa unapoamua kufanya jambo lako.
Kiukweli Airtel kwa sasa huduma zake hazipo sawa, unaweza ukampigia mtu hata mara 20 unaambiwa haipatikani au ina-disconnect kabisa wakati anakua hewani kabisa, internet inaweza ikatoka siku nzima mpaka muda wa bando kuisha unafika unakuta haujalitumia kabisa.
Airtel Tanzania kuna tatizo...
Kama mTZ tunajua unaumia ndugu zetu kupoteza maisha ila kumbuka waliopelekwa Muhimbili kwa matibabu zaidi ni wale ambao wamepata majeraha ya moto kuazia 80% na zaidi na Madaktari sio Mungu hawawezi kuzuia kifo isipokua wanajitahidi kuokoa maisha kadri ya uwezo wao panapowezekana na hasa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.