Tusidanganyane hata yeye anajua kuwa hiyo ni hela nyingi tu kwa muajiliwa wa U.S na hasa anaenza maisha na ndio maana anajitapa ingekuwa ndogo asingejitapa hapa bongo kwani watu wanaelewa cost za maisha ya u.s wengi tu! Hapo ni kusema kama anapiga fix kuacha huo mchongo ama anaongea ukweli...
Mkuu tuangalie data halafu tuongee maana tukibishana mwingine atasema yy kaishi huko kumbe fiksi tu. Yaani 400mil /365 sawa na 35mil/30 days ni ndogo kweli!
Kama ni kawaida basi Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi ila kama ni hayo wanayolalamikia wadau humu kwakweli sala hii fupi sidhani kama inatosha maana sala itapaswa aanze mwenyewe kwanza kwa toba kabla sisi Mungu hajatusikiliza sisi wengine huku.
Kwa bongo wala rushwa na wahujumu uchumi bado hawaingii kwenye adhabu hiyo hata wauza madawa ya kulevya sasa labda utujuze zaidi ya wauaji ni hatia zipi tena.
Maana tunaelimishana pia humu.
Angeuliwa mtu wako mfano mke ama mtoto kwa kukusudia je unaweza kumsamehe muuaji?
Kama huwezi ujue na wenzio wanahitaji wafanyiwe haki na imetokana na maagizo ya torati ambayo ni yetu sote wakristo na waislamu.
Hata babu zetu kabla ya kuja dini walikuwa na imani zao lakini kifo kwa wauaji...
Ni dhahiri ni swala laana iliyoingilia kizazi chenu haijalishi ni wazazi wameibeba ama kuna watu waovu wameitengeneza inavyoonekana ni laana inayodhamilia kupita vizazi hadi vizazi.
Unahitaji ukombozi na umejaribu vingi mpaka sasa ila jaribu kwenda kanisa la walokole wanaoelewa kudeal na laana...
Dunia hii ya mwenyezi MUNGU ina mafumbo mengi sana yaliyojificha hasa kwa wale ambao hawajapata kusikia lolote la zaidi ya haya ya kawaida tuliozoea kusikia na kuhubiriwa.
Umepata kujiuliza wale wote wanaopata uzazi kwa msaada wa waganga wa tunguli, ramli na hirizi za kipepo huwa watoto wao...
Wanakumbuka jamaa aliyejichoma moto mbele ya ofisi za serikali kuu Tunisia na kilichofuatia nchi nzima baada yake.
Wajanja sana matukio ya namna hii yana nguvu sana hizo damu huwa zinafungua nguvu za ziada za mapambano ya kudai haki.
Wenzetu huko wakiongelea ajira wanaongelea zile rasmi zinazoeleweka lakini zile za.kubeba maboksi zipo nyingi tu na watu hawafi njaa lakini bongo hata ukiomba kibarua ubebe kreti kiwandani hakuna maana viwanda vichache.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.