Recent content by Sukutu99

  1. S

    Ofisi ya DPP yatuhumiwa kupokea 30m/- kuzima kesi ya mauaji ya mwanafunzi

    Soma vizuri ndio ujibu... Apo juu pameeleza kuwa ripoti ya daktari inasema amevunjwa shingo... Na inawezekana kuna alama za vidole na mikono ktk shingo ya marehemu.. Na baada ya apo mtuhumiwa akafikiri atakuwa amekwepa kesi kwa marehemu kuonekana alizama...
  2. S

    Kwanini ITV mmetuletea ripota mtoto Richard Steven

    Mbona ni wa muda mrefu uyo kijana?? Ninamfahamu takribani mwaka wa pili sasa.. Na mara nyingi anakuwa mtaani akifuta habari... Pia unakumbuka umri alioanza Milard ayo kusoma taharifa ya habari ya ITV? Na uyo kijana unajua ana umri gani?
  3. S

    Alen Kijazi, Dkt Agness Kijazi na sasa Eng. John Kijazi, Dah!!

    Wote ni ndugu.. Na ni wakazi wa Korogwe tanga.. Period
  4. S

    Uteuzi wa Raia wa Uganda kuongoza NSSF: Ombeni Sefue, Eric Shitindi & Jenista Mhagama wajiuzulu

    Ya mange kimambi inamuhusu February Mawaya.. Na utapeli wa kumliza muitaliano..
  5. S

    Natafuta Junior Lawyer

    Dar upo sehemu gani? Law firm yako ipo mitaa gani? Na inaitwaje?
  6. S

    Natafuta Junior Lawyer

    Mbona namba yako haipo sahihi?
  7. S

    Ugomvi wa Joshua Nassari na Lema wazidi kufukuta CHADEMA

    Kaka.... hauna uhakika na kitu ambacho umekiwasilisha... Pia ni sikia sema..Hear say.. Kingine sio kila mtu ambae yupo Bar au Huko picha ilipopigwa kuwa ananunuliwa pombe na Nassari.... Wacha kuzarau watu.. Japo umekosea pia ukasema anawanywesha.. Na ukweli kila mtu anakunywa mwenyewe kwa mikono...
  8. S

    Nifanyeje nikichelewa kukata Rufaa ya kesi?

    Asante sana mkubwa Pasco.. kumbukumbu yangu kama sijakosea case iliyotengeneza hii principle ni case ya Rondell V. W (1966) 3 ALL E.R.657
  9. S

    Hii ni Traffick au murder case?

    Kaka.. Mi cjakuelewa vizuri.. Samahani lakini.. Je mlinzi wa amani ni yupi hasa? je police ni mlinzi wa nini?
  10. S

    Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

    Pole sana... Kitendo cha kutaifishwa tu Ilo shamba lako bila ya kupewa notice ni kosa kisheria.. Pia je kuna Malipo yoyote ambayo walikupatia? Kama watakuwa hawajakupatia malipo yoyote watakuwa wameenda kinyume na katiba ya jamhuri ya muungano ya Tanzania ya mwaka 1977.. Ibara ya 24.. uisome...
  11. S

    Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

    Kaka ameelezea vizuri sana.. Mtuhumiwa hatakamatwa na kupekuliwa na askari polisi... Je... Wewe Ni polisi? Pia uelewe maana ya neno (Isipokuwa) .. In Law every General rule has its Exception..
  12. S

    Traffic mataa ya chang'ombe wafanya kitendo cha kinyama kwa wananchi

    Kazi yao ni kuangalia na kusimamia sheria za usalama Barabarani na si kutoa upepo magari ya watu.. Tupia picha apo tuanze kuwashurutisha na kuwaadabisha..
  13. S

    1+1=2, (Serikali ya Tanganyika + Serikali ya Zanzibar = Serikali mbili) Mbona wagumu kuelewa?

    Mleta mada.. Zanzibar + Tanganyika # Tanzania.. sawa.. tatizo ni viongozi wako kukataa kuitambua Tanganyika kama moja ya nchi ambayo imepelekea jina Tanzania.. Hizo ni nchi mbili.. serikali mbili.. ambazo zimezaa serikali ya tatu ambayo ni Tanzania. pia kama zanzibar ina katiba yake kwa nini...
  14. S

    Precision Air wamshusha Dr. Azaveli Rwaitama kwenye ndege kisa Lugha

    We wa wapi? Sio lwakatare bana.. unaparamia usivyovijua..
Back
Top Bottom