Wale traffic wanaokusanya fedha bila risiti leo jumatatu wamerudi kwa kishindo hapo mto nduruma na wanaendeleza zoezi Lao la ukusanyaji fedha isivyo halali. Takukuru mpo wapi jamani au na nyie mnashirikiana nao?
Wamejikusanya kundi kubwa la trafić police pale mto nduruma na kushurutisha watu kulipa faini na ukiwauliza risiti wanakuambia uifuate kituoni kwao.
Sasa kama hawana risiti kwa nini wawatoze watu faini? Ni kwamba wanakomba hela za watu wazi wazi, imekuwa ni mradi wao wa kujiingizia fedha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.