Recent content by sukuma boy

  1. S

    Mke wangu ananipiga makofi kila ninapochelewa kurudi nyumbani, nifanyaje jamani nimechoka!

    Mkabidhi hela ya wiki then mwambie asikuombe hela tena ndani ya hiyo wiki Ila ubaki na nauli ili wiki nzima usifanye kazi za ziada na uwahi kurudi tu home. Isipo tosha mwambie ndo maana mm naitwa baba nakojoa nimesima wewe unachuchumaa.
  2. S

    Tractor

    Natafuta tractor used mwenye nalo au kasikia sehem
  3. S

    Tetesi: Mifuko ya hifadhi ya jamii kwa Watumishi kubakizwa miwili

    Huo mpango wa kitambo sana na hii ni serikali kutaka kukontrol hizi pesa za mifuko ya hifadhi
Back
Top Bottom