Probably itakuwa ni ppf! Huu mfuko umekaa kihuni mno! Kuna kampuni moja kubwa huko arusha ambayo wafanyakazi wake wanalazimishwa kujiunga ppf tu! Halafu sasa fedha wanazokatwa zinatumika kuwakopesha kwa riba kubwa ya 30%! Dhamana ni akiba yako ya ppf, na unapoacha au kuachishwa kazi basi tajiri ana uwezo wa kukukata direct kutoka kwenye hifadhi yako maana pia yeye ndiye anayekulipa ppf yako! Yaani hadi penalties nyingine kama za low performance zinakatwa kwenye ppf yako! Sasa unashindwa kujua kama huo mfuko ni wa tajiri(mmiliki wa kampuni) au serikali?Mimi binafsi nitafurahi sana ikiunganishwa, kuna watu wangu wa karibu nawajua wanateseka sana kwa manyanyaso ya mfuko mmoja siutaji ila ni jambo jema.
Katika mifuko hii pia imekuwa km kichaka cha kujificha....
Nawezaje kukopa pesa walau kidogo pspf, mimi ni daktari nina miezi 6 kazinTANGU KITAMBO HZ TETESI, HATA JUZI KALIZUNGUMZIA KAGERA.
ILA ITALETA SHDA NA HUDUMA ZA HFADH ZTAKUWA MBOVU, LABDA ANGESEMA MIFUKO IWE MIWILI ILA IWE NA UHURU WA WA KUSAJILI MEMBERS. IWE PRIVATE AU GVT.
HATA HVYO, HUU MFUMO ANAOLETA NI WA KIZAMANI, NI SAWA NA KWENDA MBELE HATUA 5 UNARUD HATUA 7
KWA MUJIBU WA TETESI NI KWAMBA NSSF, GEPF NA PPF ITAUNGANISHWA KUWA MFUKO MMOJA (NSSF) HALAFU LAPF+PSPF NI PSPF
Hivi uliwaza nini hadi ukachagua hiyo avatar, thought shapes reality, hiyo avatar inaakisi jinsi ubongo wako unavyofanya kaziUshindani ni muhimu sana, sasa serikali itakusanya pesa vizuri ila huduma kwa wafanyakazi na vile vibonus sijui mafao ya uzazi na mikopo ya kuanzia maisha wasahau.
Walikuwa wanakula mishahara ya bure tu, walikuwa wanafanya duplicate jobs, kazi ya kufanywa na mfuko mmoja inafanywa na mifuko 10, that is a wastage of resources!Twafaaa hao staff watawapeleka wapi
ila ni njia ya ku create emplyment mkuu tuangalie wana familiaWalikuwa wanakula mishahara ya bure tu, walikuwa wanafanya duplicate jobs, kazi ya kufanywa na mfuko mmoja inafanywa na mifuko 10, that is a wastage of resources!
Hahahahah..., hivi mtu unalimiaje meno aiseee..., hahahahahahah...!Magori mbona analimia meno siku nyingi mtaani
Ww Mzee huu utani wako sio Mwema kabisa..,Mie naona hata Majimbo waunganishe tupunguze msururu wa Wapiga Makofi na Wazomeaji
Huyu jamaa atakuwa na roho ya kwann na probably ni mchawi...Hivi uliwaza nini hadi ukachagua hiyo avatar, thought shapes reality, hiyo avatar inaakisi jinsi ubongo wako unavyofanya kazi
Watu hawajui tu. Kuajiri watu wengi kunafanya mzunguko wa pesa uwe mkubwa na kukuza uchumi. Serikali ikiiajiri watu wachache ni mbaya kwa uchumi tofauti na shirika binafsi.ila ni njia ya ku create emplyment mkuu tuangalie wana familia
Itaongeza ufanisi na punguza garama.Tuangalie mashirika mengine pia yaunganishwe kupunguza dublication na garama.
Umbea wa kiwango cha makinikiaKuna tetesi nmezipata mahali ingawa sijathibitisha kama ni kweli. Jumomosi nilikuwa nmekaa na mchumi mmoja mahali fulani(jina la sehemu na mhusika nahifadhi).
Inasemekana bwana mkubwa amepanga kuunganisha kama sio kuvunja mashirika yote ya hifadhi ya jamii na kubakiza moja la serikali na moja la binafsi, pia inasemekana wakurugenzi wa haya mashirika yote ya hifadhi walishaitwa na kupewa huo utaratibu na kuambiwa kuwa hiyo ni amri na ole wao waje kulopoka huku mtaani.
Watumishi wote wa serikali watalazimika kuhifadhi fedha zao kwenye mfuko wa hifadhi wa serikali(ni lazima) na watumishi wa sekta binafsi wanaweza kuchagua ni mfuko gani wahifadhi hela zao.
Kuna miradi iliyokuwa inatekelezwa na mashirika hayo miingine inaonekana kusimama, mkulu kasema hata serikali inaweza kuiendesha. Kama ni kweli hili swala linaweza kuathiri uchumi?