Recent content by sukhoi su35

  1. sukhoi su35

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri! Nilimsamehe, lakini sasa hanijibu simu wala SMS, nifanyeje?

    sikiliza hiki chuma huku ukipanga Mipango yako ya mbele, weka mapenzi kando kwasasa..ukiyazingatia sana utadata
  2. sukhoi su35

    JamiiForums Tanzania Kuchapwa watoto kiasi hiki ni sawa?

    Uzi umeibua hoja mchanganyiko, zenye hisia, ila ni muhimu kufahamu kuwa Kuna Sheria zinasimamia mambo ya utoaji wa adhabu, Kuna mdau huko juu alishazigusia, Sheria ya Kanuni za Adhabu (Penal Code), Sheria ya Mtoto (Law of the Child Act) na zingine.. Pamoja na hisia zote, tunapaswa kucheza humo...
  3. sukhoi su35

    JamiiForums Tanzania Kuchapwa watoto kiasi hiki ni sawa?

    umenena vyema, lengo la adhabu ni kurekebisha/kubadili tabia, adhabu inapogeuka mateso inasababisha matatizo mengine makubwa zaidi, ikiwemo hayo ya woga, chuki, kulipiza visasi, mwisho wa siku ndo hayo mtoto anafanyiwa ukatili/kubakwa/kulawitiwa na mtu wa aina hiyo, anashindwa kusema popote...
  4. sukhoi su35

    JamiiForums Tanzania China Stratopheric Airship ina uwezo wa kuiona F-35 ya toka umbali wa 2,000 Km

    Majigambo ni sehemu ya medani za kivita, kila mtu husifia chake alichonacho Hadi kitakapopitishwa kwenye majaribio halisi ya vita, Russia, USA, China, Uingereza, Turkey kila mmoja ameshaonja ladha ya silaha alizowahi kuhisi ni hatari, kuharibiwa vitani, S300 na S400 kwa upande wa Russia, Pia...
  5. sukhoi su35

    JamiiForums Tanzania Nakuchukia Baba yangu

    Yes, hii ndo win win situation, hujifungi gereza la chuki na pia hujitesi kuhangaika naye, mtoto wa nyoka ni nyoka, kama yeye hakutunza, asitegemee matunda asiyopanda
  6. sukhoi su35

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nahisi ndo track yao ya kwanza ku hit kipindi hicho, naisaka siipati popote, humo ndani Kuna mistari kadhaa naikumbuka.. 'niligombana na mwanafalsafa kisaa...alinipeleka studio na nyimbo yangu haikutoka' chorus... "tunakoseana, tuombe Mungu itapolia kengele....."
  7. sukhoi su35

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

    maisha yasonge mbele kwasasa, Focus your energy kwenye mambo yako, usipoteze muda wako kutengeneza mashindano ya kuonesha maisha baada ya ndoa, ishi maisha yako, kwa kila nafasi unayopata ya watoto wako, itumie ipasavyo..
  8. sukhoi su35

    JamiiForums Tanzania Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

    kwa mlipofikia, hudhuria Mahakamani..maana hata usipohudhuria shauri litaendelea kusikilizwa upande mmoja na kama ni Talaka itatolewa, ukiwepo utakuwa na uwezo wa kuweka kumbukumbu sawa, na pia uhusike kwenye mgawanyo wa Mali, na mjadala kuhusu watoto wako. Usipingane na ombi lake la Talaka...
  9. sukhoi su35

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji ushauri wenu kuhusu uhusiano wangu na mke wangu

    Ikiwezekana baada ya kujadiliana naye mpumzishe simu kwa muda, kuonesha usiriaz wako kwenye suala ulilobaini
  10. sukhoi su35

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji ushauri wenu kuhusu uhusiano wangu na mke wangu

    Ni wazi kuwa bado ana some feelings na Ex wake, Ni suala la wewe kufanya tathmini, ukiunganisha na matukio mengine pamoja na hali ya sasa ya mahusiano yenu, Utakayoyabaini yakusaidie kujua nafasi yako Nafasi ya kumsikiliza ni ya muhimu sana, hupaswi kufikia conclusion kwa kusikiliza maoni ya...
  11. sukhoi su35

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kaniambia fuata mambo yako

    Yeah hapo sawa, ukijichanganya umtafute equation haiwezi kubalance, utakuwa mateka milele
  12. sukhoi su35

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri juu ya kupambana na mke wangu anayeninyanyasa kwa sababu anataka kutumia sheria kunifilisi

    tunza ushahidi unaoonesha kuwa nyumba ilikuwepo kabla hamjaanza kuishi pamoja, ili nyumba isiingie kwenye Mali mlizochuma pamoja
  13. sukhoi su35

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mwenye wimbo wa jamaa walijiita war-will "tunakoseana"
Back
Top Bottom