Dawa ni serikali ya majimbo tu. Haiwezekani mwanza tunakilakitu halafu hamna maendeleo stahiki kwa muda stahiki. Siasa tu. Yani sijui wanatuchukuliaje watu mwanza....
Na ndio maana watu hawaendi kununua vitu supermarket. Niliwahi ishi nchi flani miaka sita nikiwa nasoma huko yani bei ya mtaani na ya supermarket ni sawa. Kama kunautofauti ni visenti vichache. Sijui bongo shida nni........
Barabara nayozungumzia ni hiyo ya mkuyuni-nilepearch . Kwamba uthamini nasikia umefanyika kwa nyumba zitakazoathiriwa na mradi au ujenzi wa barabara hiyo. Nafikiri watakuwa serious na ujenzi wa barabara hii ya 9.5 Km
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.