Mahakama ilitoa zuio kwa msanii davido kuperfom kwenye fiesta lakini the nextday tulimuona jukwaani.....sasa kama kwa issue ndogo vile mahakama ilidharaulika sembuse hili sasa??
Chief kiumbe big boss........umefika wakati wa kuwatizama kwa makini hawa wanaojiita mapapaa, watoa misaada hovyo hovyo,pia wadhamini wa matukio na shughuli mbalimbali manake wanajifanya wema kumbe wanakua na ajenda zao za siri pembeni!!
Aibuuuuuuuu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.