Habari wana JamiiForums, kuna jambo lanitatiza Naombeni majibu yenu.
Mfano umepanga nyumba na mwenye nyumba wako anaishi mkoa mwingine tofauti na uishio wewe, ukiwa unamtumia kodi ya nyumba je, ni lazima kumtumia na ya kutolea?
It is an undeniable fact that having a digital device is one issue, and participating fully online is another issue that has been troubling many Tanzanians.
Some Tanzanians are no longer able to exercise their right to participate on digital platforms due to the obstacle that has been imposed...
Habari za wakati huu wana JamiiForums.
Leo napenda kuongea na waandaaji wa filamu Tanzania.
Kwanza niwapongeze kwa kazi kubwa mfanyayo ya kuielimisha na kuiburudisha jamii. Pia, niwapongeze kwa mapinduzi makubwa mnayoyafanya kwenye tasnia ya filamu nchini.
Teknolojia inawasaidia sana kuandaa...
Habari za wakati huu wana jamii forum.
Ni siku nyingine tena ya kuelimishana ili kila mmoja wetu aweze kuwajibika kwa nafasi aliyokuwa nayo katika jamii. Leo ningependa kuongea na baadhi ya kondakta wa daladala ambao kiukweli wanapaswa kujirekebisha kwenye baadhi ya maeneo.
Kila kazi ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.