Recent content by sue bae

  1. S

    Kama mwenye nyumba anakaa mbali ni lazima kumtumia na ya kutolea?

    Habari wana JamiiForums, kuna jambo lanitatiza Naombeni majibu yenu. Mfano umepanga nyumba na mwenye nyumba wako anaishi mkoa mwingine tofauti na uishio wewe, ukiwa unamtumia kodi ya nyumba je, ni lazima kumtumia na ya kutolea?
  2. S

    Data bundles are an obstacle to some Tanzanians to participate fully online

    It is an undeniable fact that having a digital device is one issue, and participating fully online is another issue that has been troubling many Tanzanians. Some Tanzanians are no longer able to exercise their right to participate on digital platforms due to the obstacle that has been imposed...
  3. S

    SoC02 Waandaaji wa Filamu, mnakwama wapi Filamu za Uhuishaji (Animations)?

    Habari za wakati huu wana JamiiForums. Leo napenda kuongea na waandaaji wa filamu Tanzania. Kwanza niwapongeze kwa kazi kubwa mfanyayo ya kuielimisha na kuiburudisha jamii. Pia, niwapongeze kwa mapinduzi makubwa mnayoyafanya kwenye tasnia ya filamu nchini. Teknolojia inawasaidia sana kuandaa...
  4. S

    SoC02 Kesho ya Afrika ipo katika mtandao

    Hongera kwa makala nzuri.
  5. S

    SoC02 Kwa tabia hizi, Ewe Kondakta wa daladala badilika

    Habari za wakati huu wana jamii forum. Ni siku nyingine tena ya kuelimishana ili kila mmoja wetu aweze kuwajibika kwa nafasi aliyokuwa nayo katika jamii. Leo ningependa kuongea na baadhi ya kondakta wa daladala ambao kiukweli wanapaswa kujirekebisha kwenye baadhi ya maeneo. Kila kazi ina...
Back
Top Bottom