Habari wakuu,
Nimejitaidi sana kupambana na fezea hii lakini nimeona bora nizungumze humu labda ntapata msaada ....
Kabla sijaoa nilikuwa shababi sana nilikuwa na uwezo wa kutembea round 4 mpaka 6 na zote zilikuwa za kibabe...
Sasa Nina miaka kadhaa kwenye ndoa naanza kuona mabadiliko...
Tuna mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi 3 , Tulibahatika kupata mtoto kabla ya kuoana yaani kipindi cha upenzi ndio kipindi ambacho alipata mimba na baadae akajifungua ndipo nikaamua nimsogeze tuwe familia moja....
Jambo linalo nishangaza sana ni kauli zake tata...kama mmnavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.