Habarini wanajamvi!
Naombeni msaada wa njia ama dawa inayoponya vipele vinavyotokana na kunyoa ndevu. Nimejaribu kubadili njia mbadala za kunyoa, kama vile mashine, magic, wembe nk, lakini hakuna iliyoniletea nafuu.
Tafadhali nishaurini!
Hatimaye Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba ametimiza ndoto yake ya tangu kidato cha pili (Form Two) ya kuweka saini yake katika noti za fedha ya Tanzania. Tazama video
If I were Bibi, ninge-sacrifice hao hostages kadhaa waliosalia huko Gaza ili nii-flat Gaza yote zaidi ya Hiroshima na Nagasaki, ndio lingekuwa suluhisho langu. A total deletion of terrorists, jihadists na vizazi vyao vyote ingekuwa ndio solution.
Sijui kama kuna uhusiano na hizi screenshots zinazozunguka mtandaoni🤷🏾♂️ but anyway, kama kuna wakati Mheshimiwa Rais amekonga nyoyo na matarajio ya watu kwa furaha, basi ni sasa. She’s literally won a full mass support.
Habarini!
Kama tujuavyo, Rais Samia yumo nchini Korea ya Kusini akiendelea na ziara take ya kikazi. Suala moja nimeshindwa kuling’amua kiasi cha kuhitaji msaada wa ufafanuzi na kueleweshwa kuhusu protokali ya bendera ya nchi pindi Rais wetu awapo ziarani katika nchi nyingine.
Nimekuwa nikiona...
Amani iwe nanyi!
Kwa ufupi tu, nimejaribu kuwaza jinsi tabaka hili la watu maarufu, wakiwemo wasanii, linavyoishi kwa kututegemea sisi wananchi na kodi zetu.
Msanii akiwa ana-rise to fame, ataomba support ya mashabiki (sisi) na hata serikali (kupitia mamlaka zinazowahusu) ili afike...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.