Kaka kwa ninavyo amini GPA its GPA . kama nikipata GPA ya tano nahicho Chuo kinajulikana world wide. Usiniambie watasema ni sawa na GPA 3.0 ya Tanzania. Na pia hata hizo masters scholarship wanahuo muda wa kufanya izo standardization. ...always na amini we need to think in side the box but...
Kwa as time goes naamini we are still developing. Kama wao wameweza kunayo kwetu ata sisi twaweza. Kuweka na kwao. Na hii yote kwa sababu Tanzania hakuna hela tungekuwa nazo tungeweza kuweka embassy na kwao pia.
Ningependa nikuambie ata hao TCU. This year wame wametoa tangazo mka apply scholarship to Indonesia . so nakushauri just visit TCU ukajionee tu mwenyewe.
Asante .
Kwa ushauri wako si zani kwa sababu ni scholarship ungekuwa naenda soka kwa kumtumia hela yangu sawa lakini ni makubaliano kati ya Tanzania na Indonesia. Kusomesha watanzania nchini kwao ..
Na kengine ntaenda masters so sio Tanzania tena kwa hiyo ukisema nante sijajua watakuwepo wapi...
Yes nimepata scholarship
Sua nili apply sikupata ndo nimechaguliwa hiyo bachelor In commerce in finance... Udsm
Moyoni I nataka hiyo scholarship Indonesia kwasababu nilikuwa huko. For 6 month na I enjoyed using it ..
Sasa usauri wa wazazi ilinicost mmno ningekuwa tayari namaliza nawezangu...
Am 24 yrs saivi. Gender - Male
Nasoma bachelor in commerce in finance Niko first year
Course nayo enda soma Indonesia ni bachelor in Agribusiness.
Nilivyo enda Indonesia last 6 month nikaona a lot of opportunities on field ya agriculture.
And wish to work on big NG0's because I had an...
Nimemaliza form 6 2015 kwa faulu mzuri tu kwenda chuo. Sema wazazi wangu wakanishauri nisiende kusoma hiyo kozi ya banking and finance sio nzuri katika kuomba transfer wakanichagulia kozi nyingine but ilikuwa ya science mimi nimemaliza commercial arts.
So nikaanza diploma Latina kumalizia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.