Recent content by strongest

  1. S

    Tanzania ni moja ya nchi yenye mishahara ya hovyo kabisa

    na hapo bado ikitokea loss unakatwa kwenye mshahara Ani dhuluma juu ya dhulma
  2. S

    Tanzania ni moja ya nchi yenye mishahara ya hovyo kabisa

    Mishahara ya Tanzania ni kama vichekesho vya usiku wa manane. 1. Kijana anachoma jua petrol station—Tsh 150,000. 2. Dereva wa school bus, analala na presha ya watoto—Tsh 150,000. 3. Mlinzi, anakesha macho, sometimes bila hata fimbo—Tsh 150,000. 4. House girl mdada, anafanya kazi hadi anasahau...
  3. S

    PreGE2025 Mwenyekiti mstaafu BAKWATA, Sule akosoa tamko la Askofu 'Lissu aachiwe mara moja bila masharti'

    kzsema hivyo ni nature yao. majority hawapo tafu kuidai haki wanaamini katika konakona na unafiki
  4. S

    Mgogòro wa biashara na Malawi: wamalawi waja juu.

    jwtz itapigwa ichakae ngoja iingie kwenye 18 za jwtz ya malawi
  5. S

    Kwa nini Mwafrika kiasili hana akili nyingi kama races nyingine ?

    mwafrika ni failed project au ni hasara/deni kwa dunia dunia haitaki watu sampuli ya waafrica
  6. S

    Huna changamoto za kiafya, Umefika miaka 35 huna mtoto, usingizi unautoa wapi kwamfano ?

    mwanaume umri sahihi na bora wa kupata mtoto ni miaka 26-28. hapa una mbegu zenye afya na nguvu
  7. S

    Kuporomoka kwa thamani ya Sarafu ya Tanzania yaishusha Kiuchumi hadi namba 11 Afrika

    bi chura kiziwi kizimkaz anazamisha meli kimya kimya
  8. S

    BM wamefuta utawala wa mabasi ya Kilimanjaro kwa ruti ya Dar - Arusha

    kati ya ratco au kimotco moja wapo hapo
  9. S

    BM wamefuta utawala wa mabasi ya Kilimanjaro kwa ruti ya Dar - Arusha

    +tilisho,frester, happy nation osaka ,mbazi,mtei,marangu coaches,LIM,ratco,hai express,,ngasere n.k
Back
Top Bottom