we achana na mahaba yashanikuta hyo mimi nilikuwa nampa hadi hela bt mwenyewe akaniona cna maana nikaamua kujiweka kando sa hv ananililia turudiane mi ndo ctaki hta kumsikia atajuta hyo mwanaume cku moja
aisee kupima kunataka moyo mi mwenyewe nilikuwa naogopa ila baadae nilipata sababu ya kwenda kupima,daah unaweza ukafa kwa woga bt jikaze we mwanaume bwana
mmmmmhh kweli dunia ina mambo wenzake wanataka ndoa ye anataka gari??gari kitu gani??inavyoonakana ofisin kwa huyo bidada kuna ushindani wa magari sasa na yeye anataka asipitwe na mungu atamlaani hlo gari ndo litakalomuua,maskini mume wa hyo dada sa zingine wanaume wanakosewa sana na akipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.