Marekani hawajali kuhusu haki zako au demokrasia yako wewe mmatumbi, wanajali kuhusu maslahi yao, Hata ukiwa dikteta... ukiwapa wanachotaka hawana shida na wewe, Bongo hatuna cha maana cha kufanya tuingie hata kwenye akili ya Trump, angalau Nigeria wana reserve kubwa ya mafuta, DRC wana rare...
Swali la kizushi... Ni nchi gani hapa duniani ambayo UN waliwahi kwenda kufuta uchaguzi? CCM haitaondolewa kwa hekaya za abunuasi na uchawa wa ki-ccm ccm, ili kuiondoa CCM inahitajika mipango thabiti na kuamsha ari ya wananchi, na si hizi hadithi za kipuuzi toka kwa watu ambao hawajui hata...
Yaani, so much 'endapo', na imebaki miezi saba tu kufikia uchaguzi, wakati uchaguzi wa serikali za mitaa umeibwa juzi tu, na maisha yanaendelea kama vile hakuna kilichotokea
Kwanink mnapenda kuandika vitu vya kujifariji visivyo na uhalisia? Kuna mambo you have to be realistic, not optimistic. Vinginevyo itakuwa ni kuota ndoto miaka nenda rudi
Michango ya ukumbi ilitolewa na Chadema diaspora chini ya hamasa ya Kamanda Liberatus Mwang'ombe, na mkeka uliwekwa wazi mitandaoni siku ile ile ya press conference.
Katika hali ya kawaida, mtu ambae ni critical thinker hupaswa kutafuta taarifa za ukweli kabla ya kukurupuka na kutoa tuhuma za...
Mtu ambaye maisha yake yote na biashara zake zote zina connection na uCCM ataleta mapinduzi gani Chadema? Hizo ni suicidal thoughts!
Anyway, najua umepitia njia ndefu, ila ni kwamba January na Nape wote hawahitajiki Chadema.
LIssu hawezi kuhamia CCM kamwe, na pia hawezi kuhamia ACT, na hawezi kuanzisha chama kipya kwa sababu serikali haitoruhusu hilo, kwasasa siasa, harakati na misimamo ya Lissu inaweza kuwa accommodated Chadema pekee, atapambana humo humo, akishindwa atakuwa mwanaharakati huru, haitokaa itokee...
Kufanya reasoning huku ukiwa umevaa miwani ya kisiasa ni tatizo sugu kwa sasa. Ni ni tatizo la wote CCM na CDM, uchawa unadumaza watu kifikra.
Mosi, ni wapi wameandika Marehemu alikuwa anasoma Kampasi ya Dodoma?
Pili, CBE pamoja na vyuo vingi tu vina Evening classes, wengi wetu pamoja na wengine...
Kabla hujaandika kitu ni vyema kufanya utafiti japo kidogo tu ili kujiridhisha, Zimbabwe bado inaongozwa na ZANU PF, Namibia bado inaongozwa na SWAPO, Msumbiji bado yaongozwa na FRELIMO, Malawi inaongozwa na MCP, ANC bado imetoa raisi wa South Africa.
Watanzania sio tu kwamba wameichoka CCM...
Mlima Kilimanjaro na Mlima Meru haviko ndani ya bonde la ufa, lakini vimetokana na bonde la ufa.
Kusema kwamba mkoa mzima wa Arusha na mkoa wa Kilimanjaro kuwa ndani ya bonde la ufa ni uongo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.