Recent content by streetking

  1. S

    Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani

    Marekani hawajali kuhusu haki zako au demokrasia yako wewe mmatumbi, wanajali kuhusu maslahi yao, Hata ukiwa dikteta... ukiwapa wanachotaka hawana shida na wewe, Bongo hatuna cha maana cha kufanya tuingie hata kwenye akili ya Trump, angalau Nigeria wana reserve kubwa ya mafuta, DRC wana rare...
  2. S

    Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani

    Venezuela ndio nchi inayoongoza duniani kuwa na 'proven' oil reserve. Na kama unavojua wamarekani wapo kimaslahi yao zaidi.
  3. S

    Malisa GJ: Rais Samia anawakaanga MATAGA

    Nafukua kaburi!
  4. S

    Msaidizi alipotukanwa na mwenye nyumba kwenye veranda, mmiliki wa awali akamwambia tu namaliza mchezo kuwa mvumilivu. 8/100

    Hizi ndo mambo wabongo wanapenda kusikia, tetesi, umbea na conspiracy theories zisizokuwa na kichwa wala miguu.... Safari bado ni ndefu sana kwakweli.
  5. S

    Ujue msikiti uliojengwa na majini

    Kwa akili hizi za kuamini vitu vya kusadikikia.. CCM itatutawala kwa miaka mingi ijayo. Bure kabisa
  6. S

    Picha ya Wiki, Kada wa Chadema akiwashawishi Wananchi Wasaini Petition ya No Reform No Election ili kupeleka UN Mwisho wa Mwezi

    Swali la kizushi... Ni nchi gani hapa duniani ambayo UN waliwahi kwenda kufuta uchaguzi? CCM haitaondolewa kwa hekaya za abunuasi na uchawa wa ki-ccm ccm, ili kuiondoa CCM inahitajika mipango thabiti na kuamsha ari ya wananchi, na si hizi hadithi za kipuuzi toka kwa watu ambao hawajui hata...
  7. S

    PreGE2025 Maswali yangu kwa Wanaosema No Reform No Election haitafanikiwa

    Yaani, so much 'endapo', na imebaki miezi saba tu kufikia uchaguzi, wakati uchaguzi wa serikali za mitaa umeibwa juzi tu, na maisha yanaendelea kama vile hakuna kilichotokea
  8. S

    PreGE2025 Maswali yangu kwa Wanaosema No Reform No Election haitafanikiwa

    Kwanink mnapenda kuandika vitu vya kujifariji visivyo na uhalisia? Kuna mambo you have to be realistic, not optimistic. Vinginevyo itakuwa ni kuota ndoto miaka nenda rudi
  9. S

    PreGE2025 Lissu jitokeze ukanushe habari za Msigwa kugharamia Press ya kutangaza nia, vinginevyo umekwisha

    Michango ya ukumbi ilitolewa na Chadema diaspora chini ya hamasa ya Kamanda Liberatus Mwang'ombe, na mkeka uliwekwa wazi mitandaoni siku ile ile ya press conference. Katika hali ya kawaida, mtu ambae ni critical thinker hupaswa kutafuta taarifa za ukweli kabla ya kukurupuka na kutoa tuhuma za...
  10. S

    Mara paap! Kinana kawa makamu mwenyekiti wa chadema. Inhiiiiiiii!

    Mtu ambaye maisha yake yote na biashara zake zote zina connection na uCCM ataleta mapinduzi gani Chadema? Hizo ni suicidal thoughts! Anyway, najua umepitia njia ndefu, ila ni kwamba January na Nape wote hawahitajiki Chadema.
  11. S

    Tetesi: Tundu Antipas Lissu kuicha CHADEMA na kuhamia CCM 12/12/2024

    LIssu hawezi kuhamia CCM kamwe, na pia hawezi kuhamia ACT, na hawezi kuanzisha chama kipya kwa sababu serikali haitoruhusu hilo, kwasasa siasa, harakati na misimamo ya Lissu inaweza kuwa accommodated Chadema pekee, atapambana humo humo, akishindwa atakuwa mwanaharakati huru, haitokaa itokee...
  12. S

    Inasikitisha na kustua sana. Marehemu Kambayao wa TRA alikuwa pia Mwanachuo CBE Dodoma

    Kufanya reasoning huku ukiwa umevaa miwani ya kisiasa ni tatizo sugu kwa sasa. Ni ni tatizo la wote CCM na CDM, uchawa unadumaza watu kifikra. Mosi, ni wapi wameandika Marehemu alikuwa anasoma Kampasi ya Dodoma? Pili, CBE pamoja na vyuo vingi tu vina Evening classes, wengi wetu pamoja na wengine...
  13. S

    Roho ya CCM inaning'nia kwenye uzi ulioshikiliwa na Jeshi la Polisi

    Kabla hujaandika kitu ni vyema kufanya utafiti japo kidogo tu ili kujiridhisha, Zimbabwe bado inaongozwa na ZANU PF, Namibia bado inaongozwa na SWAPO, Msumbiji bado yaongozwa na FRELIMO, Malawi inaongozwa na MCP, ANC bado imetoa raisi wa South Africa. Watanzania sio tu kwamba wameichoka CCM...
  14. S

    Hivi ukitaka kuliona Bonde la Ufa uende wapi hasa kwa Tanzania?

    Mlima Kilimanjaro na Mlima Meru haviko ndani ya bonde la ufa, lakini vimetokana na bonde la ufa. Kusema kwamba mkoa mzima wa Arusha na mkoa wa Kilimanjaro kuwa ndani ya bonde la ufa ni uongo.
  15. S

    TANZIA Grivas Mwangoka afariki dunia kwa ajali ya Gari

    Mkuu, unawezaje kuandika uongo kwa kujiamini hivi? Origin ya Ford sio England, Origin ya kampuni ya Ford ni Michigan, USA.
Back
Top Bottom