Mlima Kilimanjaro na Mlima Meru haviko ndani ya bonde la ufa, lakini vimetokana na bonde la ufa.
Kusema kwamba mkoa mzima wa Arusha na mkoa wa Kilimanjaro kuwa ndani ya bonde la ufa ni uongo.
Hivi kweli kwa propaganda mfu kama hizi ndo mnatarajia kuwakomboa wananchi toka kwa sisieme??!! Sisiemu imechokwa, Lakini kama nyie ndio watu mbadala basi tutaendelea kuwa nchi maskini milele! mnaandika umbeya mtupu badala ya kutafuta hoja mbadala za kuweza kuchukua dola na kuifufua nchi!
Poor...
Kama akina Sumaye na Lowassa ndo tunawategemea kukuza chama then we are simply doomed, na kama think tanks wetu kama akina Ben Saanane wanabariki hii kitu... unaweza kuelewa kwanin CCM watatutawala milele
Sasa naanza kuamini kuna watu mabwege zaidi duniani nyuma ya Lowassa! Mnasherekea kushindwa? Urafiki wa EL na Magufuli umeanza lini? Kikwete ndo mshindi hapo, hebu rudisheni japo hela za EL jamani! Mtamuua kwa presha!
Ndugu yangu N'yadikwa, maisha ni kujifunza, kama una akili timamu ukisoma comment za Masopakyindi utaona jinsi alivyokuvua nguo, lakini kama alivyosema Mwandosya akimjibu Zitto... Akili ni nywele, kila mtu ana zake
Nakutakia kila la kheri katika ujuha wako
Mpuguso haiko Mbeya mjini, hapo ni wilaya ya Rungwe, Jimbo la Rungwe magharibi, jimbo la Prof David Mwakyusa. Wakati mwingine ndugu zangu wa CCM kabla hamjaposti ushuzi wenu Jf Jipeni muda wa kufanya utafiti japo kidogo!
Oh! Unamaanisha kwamba uzi huu wenye "comment" 140 hapa JF umemaliza mjadala wa watanzania zaidi ya milioni 40? hehe! kumbe watanzania wote mijini na vijijini wanatembelea JF? Safi sana ndugu greti thinka!!
Ndugu zangu wa njia ya Ngaramtoni kwenda Mjini Arusha kuna mwenye updates? Mi bado nimevuta shuka, jana wenye Noah walituchaji bei ya taxi wakati wengine mishahara yetu haifikii hata posho ya siku moja ya mbunge wa inji hii!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.