Recent content by Street Hawker

  1. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwn caf wameikataa kasarani
  2. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Unafosi hii picha iwe mbaya auuu, sijakuelewa mzee.
  3. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ila wakenya, yn kelele zote hizo uwanja wenyewe mmoja tu, je mngekuwa na viwanja vingi vipya kama Tz ingekuwaje.
  4. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ila wakenya kwenye picha huwa mnatuzidi mbali sanaa, imagine picha kama hii sijawahi kuiona kwa mtz 🔥🔥🔥🔥🔥
  5. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Lini hii 😂😂😂😂
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kwenye safari za kimataifa za AIR TANZANIA nadhani DAR-CHINA angalau kuna kamzunguko

    Kwa Air Tanzania Dar-China haifikii Dar-India kwa wingi wa abiria.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    Sio tu bahari, kuna vingi vyenye uhai wanasayansi wameshindwa kuvipa hiyo sifa mpaka leo. Ardhi, pepo, (upepo), moto na maji ni miongoni mwa hivyo.
  8. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    @janerosemzalendo upoooo
  9. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kila siku tunawaambia wakenya tumewaacha mbali sema wana kelele nyingi mitandaoni, sasa hv ndo ukweli unajulikana baada ya kuuficha kwa miaka mingi.
  10. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ni kwasababu nyie sio wastaarabu, ushamba wa hivyo huku kwetu uliisha miaka ya 90s
  11. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Afcon inakwenda kuwaaibisha sn 😂😂😂😂😂😂
  12. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wakenya ni washamba mnooo, wana kitu kinaitwa inferiority complex.
  13. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ila wapo slow sn
  14. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Usishangae mechi inaendelea mara unakuta umeme umekatika, mara unakuta madaktari wamegoma, mara unakuta police wanatimua watu kwa teargas yn vurugu zitakuwa nyingi sana.
  15. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mashindano ya Afcon yanakwenda kumvua mtu nguo kweupeeee.
Back
Top Bottom