Recent content by Street Hawker

  1. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Safi majirani ila muwe wabunifu ss acheni kukopi kopi majengo ya watu.
  2. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hv kwnn sgr haijaenda Arusha aiseee?
  3. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hizi zote zilikuwa jitihada za awamu ya 5 chini ya magufuli, now zinazaa matunda ila CCM wakiongozwa na mzee Geza ulole wanadhani tumesahau 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  4. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nyinyi mmepeleka timu kamili kwasababu ndiyo michuano ya hadhi ya timu zenu, cc huku Simba, Yanga na Azam wanatumia hiyo michuano kama pre season matches, na ndiyo mana unaona wanapanga vikosi dhaifu, Yanga ndo hata kujishughulisha na hiyo michuano imegoma kabisa. Kwenye football tuliwaacha...
  5. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hiyo ni obvious hata wewe unajua.
  6. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ukweli ni kwamba vinafanana, labda kwasababu mercedes Benz stadium ipo USA na nyinyi wakenya mkisikia USA huwa mnapaparika sijajua ni kwnn mpo hvyo.
  7. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huu uwanja wenu kila nikiuona nacheka, ni uwanja mzr ila finishing mbv sn, inahitaji wakenya mpige kelele mambo yasiende kijuakali, cku Africa imeamka wanataka levels na sio bora liende.
  8. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mbn juakali?
  9. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ndiyo hz hybrid?
  10. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hata kwa walioendelea hufanya hv, majengo fulani yanakaa sehemu fulani, yanaleta mandhari nzr, lkn huku kwetu njoo dar uone maajabu, majengo yametawanywa tawanywa hovyo hovyo tu, moja unalikuta mwenge lingine ubungo, ukija posta tunabaki na majengo ya maana manne tu, wakitucheka kwamba hatuna...
  11. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwa kawaida kiuhalisia kabisa kwa ukubwa wa Tz tulipaswa japo tuwe milioni 200 angalau, na ndiyo mana hata maendeleo yalichelewa. Resources zipo nyingi hazifanyiwi kazi, zimebaki idle.
  12. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ndiyo hayo mambo ya ushabiki maandazi nisiyoyapenda, ss mtu analazimisha kabisa kwamba roads hazitajengwa, kwahiyo watu wataendaje uwanjani? Ukiwaambia wananuna kama NairobiWalker
  13. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Barabara lazima zijengwe, kwnn zisijengwe ss.
  14. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ila kwenye hii show wabongo wamenifurahisha sn kumkataa naibu waziri alipoleta mambo yake ya siasa za mama, safi sn.
  15. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tatizo Tz sijui tunashida gn, majengo mazuri yanatawanywa tawanywa hovyo hovyo badala yawekwe seem moja, hiyo centre ilipaswa iwekwe karibu na lile jengo la PAPU.
Back
Top Bottom