Recent content by Street Hawker

  1. S

    Hivi wanatuonaje hawa ?

    Wanafanya makusudi kwasababu wapo kwa ajili ya kuwaumiza roho wananchi
  2. S

    Nauza pikipiki Yamaha 300k

    Inafika mpk 5mil
  3. S

    Baada ya samia kumaliza mda wake, uchumi utakua mgumu kidogo! JItahidi hiki kipindi uwe na uwekezaji wa maaana

    Hamnaga akili, ndiyo mana jamii imekataq kuongozwa na akili za namna hii.
  4. S

    Baada ya samia kumaliza mda wake, uchumi utakua mgumu kidogo! JItahidi hiki kipindi uwe na uwekezaji wa maaana

    Unajaribu kulinganisha mali na uhai? Mbn nyinyi watu ni mashetani sn?
  5. S

    Baada ya samia kumaliza mda wake, uchumi utakua mgumu kidogo! JItahidi hiki kipindi uwe na uwekezaji wa maaana

    Kuiba duka la mtu mmoja na kuibia mamilioni ya watu bora nn? Nyie mmeiba vingapi mpk mjifichie kwenye kichaka cha duka moja?
  6. S

    Baada ya samia kumaliza mda wake, uchumi utakua mgumu kidogo! JItahidi hiki kipindi uwe na uwekezaji wa maaana

    Hamnaga aikili nyie watu ndiyo mana mnadhani kutumia nguvu na kutisha watu ndiyo suluhisho pekee.
  7. S

    Baada ya samia kumaliza mda wake, uchumi utakua mgumu kidogo! JItahidi hiki kipindi uwe na uwekezaji wa maaana

    Nani kakuambia atamaliza muda wake, maisha mtaani magumu lkn bado mnaongopa eti kuna pesa, hamjawahi kumiliki akili nyie watu.
  8. S

    Nani kama Magufuli?

    Kosa la TEC ni nn? Kusema ukweli kwamba polisi walitaka watz wapelekwe mochwari wakiwa wazima? Kupinga mauaji? Kupinga utekaji? Acha ujinga.
  9. S

    Msemaji Mkuu wa Serikali: Wachina wataiendesha reli ya TAZARA kwa miaka 30 ili kupunguza mzigo kwa serikali

    Nchi za ki Africa ni za kimbwa sana, mikataba mirefu kama hiyo ilipaswa ipate ridhaa kutoka kwa wenye nchi ambao ndiyo raia, waambiwe lengo la mkataba, faida za mkataba na hasara zake, zen wao wapige kura kwamba wamekubali au kukataa ili huko mbeleni kusiwe na lawama iwayo yote, lkn kwakuwa...
  10. S

    Nani kama Magufuli?

    Ni rahisi sn ku deal na uvccm mana hamna akili, lini uliona watz wanaandamana kumtoa Rais madarakani? Lkn now wamefanya hivyo, hii sio ishara nzr, inamaanisha Rais aliyepo ni wahovyo kuliko hovyo yenyewe, lkn wajinga kama nyinyi bado mnaziba masikio na kujifanya wendaazimu.
  11. S

    Nani kama Magufuli?

    Hiyo picha nmepiga mm mwenyewe sasa hivi, na sio hiyo tu gari za serikali ni nyingi sana zinaenda sehemu za anasa bila woga wowote mana wanajua hakuna serikali kwa sasa.
  12. S

    Nani kama Magufuli?

    Hamna akili nyie wehu, mnatetea msichokijua kwasababu mnalipwa vipesa vichache lkn watumishi wameshajua hakuna serikali kwa sasa, magari ya umma yanapaki tu gesti na hakuna shida yoyote mana hakuna serikali kwa sasa, ila wendaazimu kama nyie mnatetea tu ujinga.
  13. S

    Nani kama Magufuli?

    Hofu mnayo kubwa sn, kwnn hamtaki uchaguzi wa haki, kwnn mnazuia maoni ya watu, kwnn mnazuia uhuru wa vyombo vya habari, rubbish 🕳️🗑️🚮
Back
Top Bottom