Ni rahisi sn ku deal na uvccm mana hamna akili, lini uliona watz wanaandamana kumtoa Rais madarakani? Lkn now wamefanya hivyo, hii sio ishara nzr, inamaanisha Rais aliyepo ni wahovyo kuliko hovyo yenyewe, lkn wajinga kama nyinyi bado mnaziba masikio na kujifanya wendaazimu.