Ukikanya bahati mbaya wanakukoromea,na kukutishia watakuitia mwizi ili wakushambulie,ni kweli inapaswa waondoke sasa,maana ni sehemu ya wapita kwa miguu!!
Yote hiyo ni hujuma,kwani hawakujua kama kuna mvua ya mfululizo?na masharti ya hapo jangwani si wanayajya mafuriko lazima,sasa walishindwa nini kujiongeza kuyahamisha hayo mabasi??au ndiyo wanatutangazia wananchi ukijapa uhalali wakula hela,maana hapo watasema mayengenezo mpaka spear zitoke nje...
Miaka ya nyuma kidogo ilikuwa poa,kabla halmashauri azijabadilisha taratibu zakukusanya wenyewe,na kutumia hizo efd machines,hata hivyo inaelekea kuwashinda hiyo kazi,watazirudisha tu kwa raia wema wawafanyie kazi!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.