Recent content by Storika Tz

  1. S

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Binamu

    Ep 01 Naitwa Sabrina ni mzaliwa wa bukoba kabila langu n mchanganyiko wa kihaya na kirwanda yn baba yngu akiwa mhaya na mama yngu mrwanda kabisa, nilisoma elimu ya primary na kufaulu kuingia kidato cha kwanza huko huko bukoba had nilipomaliza kidato cha nne, baba yngu alifarik hivo nikabak na...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

    NAJUTA KWENDA HONEYMOON- NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU – 09 [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji174] “ Afadhali nimalize majukumu yangu niondoke.” Aliongea Mke wa Gaby. “ Mmmmh! mbona wananichanganya hawa? Majukumu gani waliyokuwa nayo?” Nilijiuliza. “ Majukumu...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

    NAJUTA KWENDA HONEYMOON- NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU – 09 [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji174] “ Afadhali nimalize majukumu yangu niondoke.” Aliongea Mke wa Gaby. “ Mmmmh! mbona wananichanganya hawa? Majukumu gani waliyokuwa nayo?” Nilijiuliza. “ Majukumu...
  4. S

    JamiiForums Tanzania MKASA: Ulaaniwe marehemu kaka. Alaaniwe Bibi Harusi wako pia

    ULAANIWE MAREHEMU KAKA- ALAANIWE BIBI HARUSI WAKO PIA -03 [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Wakati yanatendeka hayo, shemeji alinipungia mkono. “ Byeeeeee…byeeeeeeeee….” Aliniambia. Nilijitutumua kujitoa nilishindwa, waliniingiza kwenye jeneza na kulifunika. Nililipiga...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

    NAJUTA KWENDA HONEY MOON- NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU - 08 🥹🥹🥹🥹🥹🥹 “ Nitaongea yote Mama. Mke wa Sam sio Mtu . Nitaongea kila kitu.” Aliongea Mke wa Gaby . Kauli yake ilinifanya niwe mdogo. Niliona mwisho wangu umefika. “ Bila shaka amekuja kunivamia baada ya kujua nilichotaka kufanya na...
  6. S

    JamiiForums Tanzania MKASA: Ulaaniwe marehemu kaka. Alaaniwe Bibi Harusi wako pia

    ULAANIWE MAREHEMU KAKA- ALAANIWE BIBI HARUSI WAKO PIA- 02 [emoji24][emoji24][emoji24][emoji174][emoji91] “Eeeeh!” Nilistaaajabu. Kwa dakika kadhaa ubongo wangu uliganda. Nilisimama bila kujua nifanye nini, nililiangalia kaburi mara tatu tatu, halikuwa na kitu ndani. “ Inawezekana vipi?”...
  7. S

    JamiiForums Tanzania MKASA: Ulaaniwe marehemu kaka. Alaaniwe Bibi Harusi wako pia

    Ep 01 Sikuwahi kufikiria wala kuwaza kama kuna siku nitakuja kumchukia kwango cha kumlaani marehemu kaka yangu na Mkewe. Kiufupi, nawachukia sana, yeye marehemu kaka na bibi harusi wake, nawachukia sana, tena sana. Popotea ulipo marehemu Kaka Fred, iwe motoni au peponi, naomba ujue nakuchukia...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

    NAJUTA KWENDA HONEY MOON- NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU – 07 “ Paaaah!” Moyo wangu ulipiga. “ Inmaaana anajua nilikuwa chumbani kwa kaka yake?” Nilijiuliza. Nilimkodolea macho bila kuongea. “ Mbona unanitazama hivyo?” Aliniuliza. Alinishika mkono na kunitikisa. “ Kwani haukuwa chumba...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Taja simulizi 3 bora ulizosoma JamiiForums 2023

    Taja simulizi 3 bora ulizosoma JamiiForums 2023 Za kila aina"
  10. S

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

    NAJUTA KWENDA HONEY MOON- NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU – 06 🥹🥹🥹🥹🥹🥹 Nilishuka kitandani na kuzifata nguo zangu. Nilizivaaa. Nilisogea mlangoni na kufungua mlango. Nilichungulia nje. Macho yangu yalikutana na macho ya Sam. “ Eeeeh!” Nilishtuka. Nilirudi ndani haraka. “ Uuuuuuh…uuuuuuh…”...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

    NAJUTA KWENDA HONEY MOON –NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU -05 [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Nusu saa mbele.Nikiwa peke yangu. Pale pale kwenye meza alitokea muhudumu wa ile Hotel. Alitembea kwa hofu. Aliangalia kushoto na kulia, ni kama hakutaka kuonwa . Alinisogelea na kuninongoneza. “...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

    NAJUTA KWENDA HONEY MOON – NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU- 04 [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]🥹 “ Nimempata .” Nilijisema moyoni. Nilisimama kwenye kiti. “ Unaenda wapi ? “ Aliniuliza Sam. “ Nimempata..” Niliongea huku nikimsogelea Baba mdogo. Wote waliniangalia kwa mshangao. Nilimfata...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

    NAJUTA KWENDA HONEY MOON- NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU – 03 [emoji24][emoji174][emoji95] Safari hii sikushangaa.Nilimuwahi. Nilimdaka mkono. Niliushika mkono wake bila kuuachia. “ Wewe nani?’ Nilimuuliza. Nilimtazama kiudadisi. Kutokana na giza , na jinsi alivyojifunika sikufanikiwa kumjua...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

    NAJUTA KWENDA HONEYMOON -NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU- 02. [emoji24][emoji174][emoji174][emoji174][emoji174] "Mmmmh! Basi Usiogope?" Aliniambia . Alinishika na kunilaza kitandani. Bila kujali hali yangu aliendelea kunipapasa na kunichombeza. Akiwa anakilamba kifua changu, ajabu, gafla...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

    Punguza ujuaji kwenye kazi za watu' kaandike za kwako uandike title utakavyo.
Back
Top Bottom