Recent content by stonecutter

  1. S

    Hotuba ya Samia kwenye page ya Ikulu imefutwa muda mfupi baada ya kuhutubia

    Hata yeye anajishangaa. LAKINI siyo mara yake ya kwanza.
  2. S

    Vita ni ghali: Marekani imetumia Bilioni 240 kuokoa rubani wa ndege. Ingekuwa Tanzania huyu rubani angenusurika kweli?

    Kwamba kwa upande wetu ndege za kafiri US kugeuzwa majivu wakati wa uokozi NDIYO HABARI KUU. Lakini US kumjali askari wao na kumwokoa TENA NDANI YA IRANI siyo habari kabisa. Tunatatizo mahali.
  3. S

    Vita ni ghali: Marekani imetumia Bilioni 240 kuokoa rubani wa ndege. Ingekuwa Tanzania huyu rubani angenusurika kweli?

    Kwamba kwa upande wetu ndege za kafiri US kugeuzwa majivu wakati wa uokozi NDIYO HABARI KUU. Lakini US kumjali askari wao na kumwokoa TENA NDANI YA IRANI siyo habari kabisa. Tunatatizo mahali.
  4. S

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Bora wewe mkuu. Uko Marekani (nadhani), unapinga uvamizi wa Marekani kwenye taifa huru. Lakini uko vizuri kichwani. Huongozwi na mihemko ya kidini wala ushabiki wa kijinga.
  5. S

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Tuliambiwa kwamba kambi zote za USA zimesambaratishwa na wanajeshi wanasakwa mitaani wanakojificha.
  6. S

    CAG: Shirika la Ndege ATCL limepata hasara Tsh Bilioni 191.91. Ni ongezeko la 108% ndani ya mwaka mmoja

    Ila Tanganyika bana. Nakumbuka ule mradi wa Bashe sijui BBT? Nowadays hakuna anayeuzungumzia tena, ni kama vile haukuwahi kuwepo na hakuna anayewajibika.
  7. S

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Zungu bana. Anawachomekea nao wanaingia kwenye mtaro. Bila shaka atampitisha binti Lukuvi kwa kutunisha mfuko wa fomu na rushwa itamwengua.
Back
Top Bottom