Putin chui wa kuchora. Marehemu Khamenei (sijui kama nimepatia jina la marehemu gaidi) aliwahi kusema kuwa "tusiwaamini sana Urusi, kwani bado ni waaminifu kwa mayahudi". Mzee aliona mbali. Simu moja tu ya Netanyahu, Putin hoi.
Mkuu, una akili za kigaidi kama... Mbona zipo njia nyingi za kujiua wewe mwenyewe?. Badala ya kusubiri nuke ya Rusia na uuwe halaiki na watoto wadogo ambao hawajui chochote.
Aiseee! Kweli namba 8 ilipendwa sana na tume ya rahisi. Kwamba walipigwa risasi na kufa watu 518. Kwamba walipotea watu 758. Kwamba hawajulikani walipo watu 448. Nini maana kupotea na kutojulikana walipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.