Kwamba kwa upande wetu ndege za kafiri US kugeuzwa majivu wakati wa uokozi NDIYO HABARI KUU. Lakini US kumjali askari wao na kumwokoa TENA NDANI YA IRANI siyo habari kabisa. Tunatatizo mahali.
Kwamba kwa upande wetu ndege za kafiri US kugeuzwa majivu wakati wa uokozi NDIYO HABARI KUU. Lakini US kumjali askari wao na kumwokoa TENA NDANI YA IRANI siyo habari kabisa. Tunatatizo mahali.
Bora wewe mkuu. Uko Marekani (nadhani), unapinga uvamizi wa Marekani kwenye taifa huru. Lakini uko vizuri kichwani. Huongozwi na mihemko ya kidini wala ushabiki wa kijinga.
Ila Tanganyika bana. Nakumbuka ule mradi wa Bashe sijui BBT? Nowadays hakuna anayeuzungumzia tena, ni kama vile haukuwahi kuwepo na hakuna anayewajibika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.