Pole mkuu. Naona unatushambulia sisi walokole. Watu ambao hatuna daawa yoyote na wewe. Ni ombi langu kwamba Mwokozi Yesu Kristo akukumbuke na KUKUOKOA kama alivyoniokoa mimi.
Tonetone ni sadaka maalumu kwaajili ya kuwezesha angalau walioko kwenye msafara kula, kulala, kunywa nk nk. Hii siyo ruzuku ya chama. Kwani pesa wanazopewaga wachezaji wa mpira na mashariki zao huwa zinapelekwa kwenye klabu? Waache ujinga.
Siyo kelele mkuu. Ni maombi ya sauti. Labla ni dharula ya kukemea roho chafu yaani mapepo wamemvamia mtu. Siku ukivamiwa na majini wewe au nduguyo ndo utaelewa.
Pole mkuu. Nakuombea kwa Mungu nawe uokoke. Kuokoka ni raha Sana. Isipokuwa hao wachache wanaoshindwa kutumia akili zao sawasawa kutofautisha mazingira ya binafsi na nyumba ya kupanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.