Recent content by stonecutter

  1. S

    JamiiForums Tanzania Ni jina gani la mwana JF ungepenyeza kwa nafasi ilio wazi ya makamu?

    Naunga mkono.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Je,BOSI NDIYE ALIYETAKA MABADILIKO?. Ona sehemu ya kilichoandikwa.

    Huenda kumbadilisha makamu ndiyo mabadiliko yenyewe.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Je,BOSI NDIYE ALIYETAKA MABADILIKO?. Ona sehemu ya kilichoandikwa.

    Wakuu, salaam. Nimeisoma barua inayosemekana kuwa ya mwenyewe. Nukuu: "Pia nilimhakikishia kuwa siku yoyote akiona anahitaji makamu mwingine wa Rais, nitaachia nafasi hii. NIMEJIRIDHISHA PASIPO SHAKA KUWA MH. RAIS ANATAMANI MABADILIKO, hivyo nimeamua kutimiza ahadi yangu". Mungu awabariki.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Najaribu kuwaza, hivi haiwezi kuwa kinyume na tunavyo dhania huu mkutano wa dharura?

    Ajabu sana hii. Wenye nyumba kutoka na kumsusia mpangaji nyumba yao. Je, mpangaji ataendelea kukomaa na nyumba ya watu?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumuombee Nchimbi: sasa naelewa mtifuano ndani ya CCM ni ukombozi kwa Taifa

    HAPANA. Hatakiwi kutoka. Kila jambo na wakati wake.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Hii ndio hali halisi ya Mkutano wa CHADEMA Sirali, Hakuna namna yoyote ya kudhibiti hiki Chama hata mkiteka na kuua

    Kwamba wewe hujui kwamba watu smart wote tupo CHADEMA? Na huo ndio ukweli.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Hallelujah! Nchimbi Ameokoka, Bwana Asifiwe!!!?

    Pole mkuu. Naona unatushambulia sisi walokole. Watu ambao hatuna daawa yoyote na wewe. Ni ombi langu kwamba Mwokozi Yesu Kristo akukumbuke na KUKUOKOA kama alivyoniokoa mimi.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mkristo lakini siabudu kwenye kanisa lolote, wala dhehebu lolote, ninamwabudu Mungu katika roho na kweli.

    MKRISTO LAZIMA AKUSANYIKE NA WAKRISTO WENZAKE KWA IBADA WAEBRANIA 10:25. FAIDA ZA KUKUSANYIKA NI NYINGI.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Marekani imechapika hapo M.E mpaka Maafisa wa Marekani wanashuku kuwa China au Urusi huenda wanasaidia Iran

    Ulivyoandika ni kama wao Iran hawapigwi kabisa.
  10. S

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kiongozi mkuu mpya Alireza Arafi wa Iran ameuawa

    Umenena vema. Huyu Mojtaba yeye kazi kujificha tu.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Katibu CHADEMA Morogoro: Mamlaka za Chama ziingilie kati tuhuma zinazomhusisha Makamu Mwenyekiti kuhusu michango

    Tonetone ni sadaka maalumu kwaajili ya kuwezesha angalau walioko kwenye msafara kula, kulala, kunywa nk nk. Hii siyo ruzuku ya chama. Kwani pesa wanazopewaga wachezaji wa mpira na mashariki zao huwa zinapelekwa kwenye klabu? Waache ujinga.
  12. S

    JamiiForums Tanzania IRGC Iran yashambulia kambi za Marekani, wamesema hatutaruhusu Marekani kuingilia mambo au kusimamia Mlango-Bahari wa Hormuz

    Hivi hawa US wanakambi ngapi huko? Mbona haziishi. Tuliambiwa mwanzo kwamba zilichakazwa na wanajeshi wa US wakawa wanasakwa mitaani.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Walokole ni kero kwenye nyumba za kupanga, wanapiga makelele sana. Ni janga kwa Taifa

    Siyo kelele mkuu. Ni maombi ya sauti. Labla ni dharula ya kukemea roho chafu yaani mapepo wamemvamia mtu. Siku ukivamiwa na majini wewe au nduguyo ndo utaelewa.
Back
Top Bottom