Wakuu, salaam.
Nimeisoma barua inayosemekana kuwa ya mwenyewe.
Nukuu: "Pia nilimhakikishia kuwa siku yoyote akiona anahitaji makamu mwingine wa Rais, nitaachia nafasi hii.
NIMEJIRIDHISHA PASIPO SHAKA KUWA MH. RAIS ANATAMANI MABADILIKO, hivyo nimeamua kutimiza ahadi yangu".
Mungu awabariki.
Pole mkuu. Naona unatushambulia sisi walokole. Watu ambao hatuna daawa yoyote na wewe. Ni ombi langu kwamba Mwokozi Yesu Kristo akukumbuke na KUKUOKOA kama alivyoniokoa mimi.
Tonetone ni sadaka maalumu kwaajili ya kuwezesha angalau walioko kwenye msafara kula, kulala, kunywa nk nk. Hii siyo ruzuku ya chama. Kwani pesa wanazopewaga wachezaji wa mpira na mashariki zao huwa zinapelekwa kwenye klabu? Waache ujinga.
Siyo kelele mkuu. Ni maombi ya sauti. Labla ni dharula ya kukemea roho chafu yaani mapepo wamemvamia mtu. Siku ukivamiwa na majini wewe au nduguyo ndo utaelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.