Recent content by stonecutter

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mtikisiko Arusha Mjini, Chadema yavunja rekodi yake yenyewe

    CHADEMA. Sijui nilianzaje kukipenda chama hiki. Na kila siku upendo wangu unazidi. Hiki ni chama cha watanzania.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel (Iron-Dome) hauna mpinzani!!!!!

    UMEJIBU VEMA. ATI shoka linaungua unabaki mpini? UONGO NA DINI FULANI NI KAMA UJI NA MGONJWA.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Putin atoa onyo ole wake atakayethubutu kuchukua uranium ya Iran bila ruhusa ,,kumekucha!

    Umeona anachopambana nacho Trump. Kwa akili hizi za kigaidi hawapaswi kumiliki silaha hatari.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Putin atoa onyo ole wake atakayethubutu kuchukua uranium ya Iran bila ruhusa ,,kumekucha!

    Putin chui wa kuchora. Marehemu Khamenei (sijui kama nimepatia jina la marehemu gaidi) aliwahi kusema kuwa "tusiwaamini sana Urusi, kwani bado ni waaminifu kwa mayahudi". Mzee aliona mbali. Simu moja tu ya Netanyahu, Putin hoi.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Putin atoa onyo ole wake atakayethubutu kuchukua uranium ya Iran bila ruhusa ,,kumekucha!

    Mkuu, una akili za kigaidi kama... Mbona zipo njia nyingi za kujiua wewe mwenyewe?. Badala ya kusubiri nuke ya Rusia na uuwe halaiki na watoto wadogo ambao hawajui chochote.
  6. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yatikisa Arusha Mjini

    Ukweli mtupu.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Mpo kwenye starehe, si mumeo, unabeba Mimba! Hivi una akili sawasawa?

    Sijui kama watakuelewa.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Vijana msinitukane mtakamatwa tu, Polisi wameshakusanya zaidi ya Watu 80

    Kwanini wamtukane. Sababu ni nini?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Samia punguza kiburi cha madaraka, anguko lako litakuwa la aibu

    Kwamba Samia ANALIPA KISASI KWA WATANGANYIKA?.
  10. S

    JamiiForums Tanzania NYUMA YA PAZIA. Kwanini Heche ni Pandikizi Jipya kwenye upinzani?

    Mkuu Ritz huwa anasema ni UHARO.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Mkuu Usalama wa Taifa (DGIS), Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Wakuu wa mikoa wapo ofisini hata baada ya mauaji ya Oktoba 29, 2025

    Aiseee! Kweli namba 8 ilipendwa sana na tume ya rahisi. Kwamba walipigwa risasi na kufa watu 518. Kwamba walipotea watu 758. Kwamba hawajulikani walipo watu 448. Nini maana kupotea na kutojulikana walipo.
  12. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Juma: Baada ya Ripoti Kutoka, tumepokea simu za matusi zaidi ya 300

    300!!! mbona idadi ndogo sana.
  13. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asasi za Kiraia: Takwimu za Tume ya Jaji Cande kuhusu vifo 518 hazitoi sura kamili

    NONSENSE! Mkuu acha njaa ibaki tumboni siyo kwenye ubongo. Watu wanazungumzia uhai, damu za watu zilizomwagwa.
Back
Top Bottom