Recent content by stonecutter

  1. S

    JamiiForums Tanzania Hallelujah! Nchimbi Ameokoka, Bwana Asifiwe!!!?

    Pole mkuu. Naona unatushambulia sisi walokole. Watu ambao hatuna daawa yoyote na wewe. Ni ombi langu kwamba Mwokozi Yesu Kristo akukumbuke na KUKUOKOA kama alivyoniokoa mimi.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mkristo lakini siabudu kwenye kanisa lolote, wala dhehebu lolote, ninamwabudu Mungu katika roho na kweli.

    MKRISTO LAZIMA AKUSANYIKE NA WAKRISTO WENZAKE KWA IBADA WAEBRANIA 10:25. FAIDA ZA KUKUSANYIKA NI NYINGI.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Marekani imechapika hapo M.E mpaka Maafisa wa Marekani wanashuku kuwa China au Urusi huenda wanasaidia Iran

    Ulivyoandika ni kama wao Iran hawapigwi kabisa.
  4. S

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kiongozi mkuu mpya Alireza Arafi wa Iran ameuawa

    Umenena vema. Huyu Mojtaba yeye kazi kujificha tu.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Katibu CHADEMA Morogoro: Mamlaka za Chama ziingilie kati tuhuma zinazomhusisha Makamu Mwenyekiti kuhusu michango

    Tonetone ni sadaka maalumu kwaajili ya kuwezesha angalau walioko kwenye msafara kula, kulala, kunywa nk nk. Hii siyo ruzuku ya chama. Kwani pesa wanazopewaga wachezaji wa mpira na mashariki zao huwa zinapelekwa kwenye klabu? Waache ujinga.
  6. S

    JamiiForums Tanzania IRGC Iran yashambulia kambi za Marekani, wamesema hatutaruhusu Marekani kuingilia mambo au kusimamia Mlango-Bahari wa Hormuz

    Hivi hawa US wanakambi ngapi huko? Mbona haziishi. Tuliambiwa mwanzo kwamba zilichakazwa na wanajeshi wa US wakawa wanasakwa mitaani.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Walokole ni kero kwenye nyumba za kupanga, wanapiga makelele sana. Ni janga kwa Taifa

    Siyo kelele mkuu. Ni maombi ya sauti. Labla ni dharula ya kukemea roho chafu yaani mapepo wamemvamia mtu. Siku ukivamiwa na majini wewe au nduguyo ndo utaelewa.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Walokole ni kero kwenye nyumba za kupanga, wanapiga makelele sana. Ni janga kwa Taifa

    Umeeleza vema mkuu. Mimi simo miongoni mwa walokole wa bandia wanaonyweshwa maji na mafuta.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Walokole ni kero kwenye nyumba za kupanga, wanapiga makelele sana. Ni janga kwa Taifa

    Pole mkuu. Nakuombea kwa Mungu nawe uokoke. Kuokoka ni raha Sana. Isipokuwa hao wachache wanaoshindwa kutumia akili zao sawasawa kutofautisha mazingira ya binafsi na nyumba ya kupanga.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia apewa Tuzo ya Heshima na Hospitali ya Rufaa KCMC

    MALASUSA!
  11. S

    JamiiForums Tanzania Taifa Israel PEKEE ndilo Kwa miaka maelfu lilimuabudu Mungu wa kweli Africa wazungu ni miungu yao kabla ya kumuamini Mungu Ibrahimu Isaka na Yakobo

    Fafanua mkuu. Kwani kila bara au nchi ina mungu wake? Kwamba Mungu wa Israeli anahusika na ardhi ya Israeli pekee?.
Back
Top Bottom