Mimi sio mtoto kama ww idadi ya wanaonitegemea ni kubwa kuliko unavyofikiria huu muda unaotaka tujibizane ni bora nikafundisha hata watoto wangu usiku mwma sitajibu chochote kwako
usipanic mdogo wangu sio kila kitu kwenye hii dunia ni lazima ukitumie kama umeona hakifai ni bora tu ukae kimya maana kuna watu wanateseka wanatafuta suluhisho la matatizo yao kuna ambao wapo tayari hata kuua na kufanya dhambi nyingine ili tu mateso yawaondokee hivho nlichoelezea ni kitu kidogo...
Nimekuwa nikifanya biashara na udalali kwa shida sana hadi siku nimeanza kutumia chumvi ya mawe sisemi ni dawa ila imani huponya
CHUMVI imesaidia kunipa kipato cha 200k kwa week i
Imenisaidia duka langu naona hela sasa sio kama zamani
Imenisaidia kupunguza na kumaliza madeni korofi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.