Pole sana kiongozi kweli iyo hali naielewa maana nimeipitia.
Kwa kuwa una bando na simu sasa hv huo ni mtaji tosha. Kuna mbinu nyingi watu wanatumia kupata pesa mtandaoni hata bila kuwa na mtaji. I am not trying to be a motivational speaker ila kwa kuanzia unaweza kufungua page ya udalali wa eneo ulilopo, (mkoa). Chukua picha kutoka kwa madalali wengine uwe unapost, ukipata mteja unamlink na dalali mwenye kazi then mnagawana maokoto. Kwenye udalali kuna pesa lakini inatakiwa kutumia mbinu za ziada katika kutangaza kama sponsored adds. Hakuna kitu kisichouzika mtandaoni. Naomba niishie hapa kwa leo.