Mimi nashindwa kuelewa watanzania wenzangu, issue ya zari na Almasi inakuwa main subject!! Mimi nafikiri maisha ya watu binafsi tuyaache kama yalivyo hata maandiko yanasema Mathayo 7
1 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
2 Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile...