Recent content by Sting

  1. S

    Profesa Kabudi, nenda Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla

    Mkuu sina jibu la kitaalamu hapo ila ninachojua ni kuwa inastawi zaidi ikiwa pamoja na mazao mengine hasa kahawa na migomba.
  2. S

    Profesa Kabudi, nenda Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla

    Vanilla hailimwi peke yake kwasababu ni mmea pori unahitaji sana kivuli ndio maana vanilla inalimwa kwenye mashamba ya kahawa na migomba au mashamba ya kokoa au miembe. Ni mmea unaotambaa kama passion fruit kwa hiyo unahitaji support ya miti mingine yenye kivuli ili uweze kustawi vizuri. Huu...
  3. S

    Profesa Kabudi, nenda Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla

    Sina hakika kama alikuambia ukweli watu wa sigara ni vigumu kununua vanilla ya shambani wakati wanaweza kupata ambayo tayari imefanyiwa curing na imekuwa extracted kupata vanilla concentrate.
  4. S

    Profesa Kabudi, nenda Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla

    Mche mmoja wa mita mbili unauzwa kwa kati ya tshs 4,000 na tshs 6,000. Mche mmoja unachua miezi 9 au zaidi kuanza kuzaa na unatoa kati ya kilo 1 hadi tatu z ya vanilla mbichi ambayo ikikaushwa inaweza kuleta takribani nusu au robo tatu ya kilo. Vanilla inatoa matunda mfano wa maharage ndiyo...
  5. S

    Profesa Kabudi, nenda Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla

    Vanilla inalimwa maeneo mengi ya Tanzania hasa Kagera, Kilimanjaro na Morogoro. Hapa Tanzania wakulima wengi wanalima vanilla kama zao la ziada na wengi wanakuwa na miche michache ni nadra kukuta mkulima ana miche (pods) zaidi ya mia mbili. Bei ya vanilla kwa kilo haifiki laki moja kama...
  6. S

    Brevis, altezza, Cardina 2002 na grand mark2 gx110, ipi ni gari sahihi kwa matumizi ya kijana wa kileo?

    Hiyo engine ina nguvu sana lakini haiwezi kufua dafu kwa 2JZ GTE twin turbo. Hii engine ikiwa tuned inafikisha horse power 1,500 na ni miongoni mwa engine bora kabisa kuwahi kutengenezwa na toyota wakishirikiana na Yamaha.
  7. S

    Brevis, altezza, Cardina 2002 na grand mark2 gx110, ipi ni gari sahihi kwa matumizi ya kijana wa kileo?

    Crown ni gari za muda mrefu sana sokoni maarifu kama Royal Salon. Chagua crown athletes 2 JZ FTSE engine cc 3,000 au crown Majesta cc 4,600.
  8. S

    Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

    Crown pia around the same. Engine in hiyohiyo 1JZFTE cc 2,500 na 2JZFTE ambayo in cc 3,000.
  9. S

    Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

    Very true watu wengi wanaangalia mafuta na sio performance na comfortability.
  10. S

    Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

    Bro kwa anayejua nagari 2.5l no gari ambayo engine yake no durable sana. Watu wanaogopa gharama za mafuta kwasababu za kiuchumi lakini so kwasababu ya ubovu wa gari. Mimi Brevis naimudu mafuta kwahiyo haina shida kabisa. Hata Mimi ukinipa vx v8 au BMW 7 series naweza shindwa gharama za mafuta na...
  11. S

    Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

    Sio kweli mkuu. Mimi Nina Brevis 1jz tangu 2015 na bado naitumia hapa mjini nankusafiri mikoani na haijawahi kunisumbua. Nilinunua ikiwa na 66,000km na sasa ina 158,000km. Nilibadili timing belt tu baada ya 100,000km
  12. S

    Sitosahau siku ambayo tulifika Mbeya saa saba mchana. Njia nzima nilitubu dhambi zangu

    Bujibuji Kaka una kumbukumbu sana. Giriki yupo kama sikosei anaendesha adventure ya Kigoma. Nimepitia comments nyingi humu kuna watu hawajawahi kusafiri au ni wameanza kusafiri juzi. Hiyo Tawaqal ilikuwa inawahi kuingia Mbeya kuliko basi zote. Nakumbuka hata mechi za simba na yanga watu...
  13. S

    'Kupiga kofi', Huenda ikawa chanzo cha ajali nyingi Mbeya!

    Kuanzia uyole hadi igawa kuna shimo za kutosha yaani kuchana tyre kama sio mwangalimu ni kitu cha kawaida.
Back
Top Bottom