Naomba kwa anayeFahamu Deadline ya kuthibitisha (confirm) Chuo utakacho kwenda...
Pia naomba nifahamishwe namna ya kupata CODE hizi kwa haraka zaidi 🙏🙏🙏🙏
natanguliza Shukran
National Institute of Transport ni chuo pekee kinachoToa kozi za kuaminika za Tanzania katika masuala ya Usafirishaji.
National Institute of Transport NIT pia kinatoa kozi mbalimbali za sayansi za kijamii , pamoja na masomo yanayohusisha Kompyuta 🙏🙏
Kwa maelezo na taratibu zaidi fuata linki...
Habari zenu wakuu , Kijana wenu ningependa kuomba msaada kwa yeyote ambaye anafahamu application za simu au computer (pc) zenye uwezo wa kuonyesha NOTES ZA ELIMU YA VYUO VIKUU TANZANIA 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Ningependa kufahamu juu ya zile asilimia za mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu je!? Kila asilimia moja huwa inakuwa na thamani ya shilingi ngapi!?
msaada wenu wakuu wangu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.