Recent content by Stigliz

  1. S

    Mtoto wa ajabu huko nzega.

    Gud!Huyo anaafadhali kuna mchina ana miaka 13 tangu udogo wake yeye ni wakucheka tu!
  2. S

    Mmasai atoa mpya hospitali !!!

    Torono naleng!Naaibisha sisi masai ya mujini.
  3. S

    Tabia hii ya baadhi ya mabinti inaudhi sana

    Wengine hawana staha wala chembe ya aibu.Ujinga,uzuzu na ujuha ndo umewatawala akilini.Msichana kamwe hawezi kukusahau sura labda jina,na ndo mana unaweza zungumza nae machache ukijua hakujui ghafla anafunguka na profile za watu mashuhuri wa kitaa unaowajua.
  4. S

    Utajuaje kuwa anakupenda au anakutumia tu....?

    Niliyewahi kuwa nae,alinijali na aliheshimu maamuzi yangu.Alitumia muda mwingi kujua magumu nayopitia na daima alinipa moyo, nilibeep kumuacha ila mwepesi wa kuomba msamaha.Aliweza kutenganisha Pesa,Mapenzi na Utu.
  5. S

    Dini,nafsi na utu wangu vitanisuta nikikubali

    Sitaki na nakiri kuwa nimekataa,kwa sasa mapenzi hayana nafasi.
  6. S

    Dini,nafsi na utu wangu vitanisuta nikikubali

    I hope to overcome tha ctuatiön.
  7. S

    Dini,nafsi na utu wangu vitanisuta nikikubali

    Nimekataa,na nimemjuza sitaki kwani nimeamua kufanya biashara kwa malengo na si mapenzi.
  8. S

    Dini,nafsi na utu wangu vitanisuta nikikubali

    Nimeamua kuchukua uamuzi huo leo na namba ya simu aijuayo nimeibadili.
  9. S

    Dini,nafsi na utu wangu vitanisuta nikikubali

    Ahsante saana kwa ushauri mzuri.Naahidi kuufanyia kazi.
  10. S

    Dini,nafsi na utu wangu vitanisuta nikikubali

    Hiyo ni nguzo muhimu ilonifanya kuwa na maadili mema.Najiheshimu na bora nikose biashara nae kuliko niendekeze Ujinga na Upuuzi.
  11. S

    Dini,nafsi na utu wangu vitanisuta nikikubali

    Hapana narudia tena hapana.Si muda mrefu nimemjua na kiumri mbali kaniacha.
  12. S

    Dini,nafsi na utu wangu vitanisuta nikikubali

    Najiheshimu na pamoja na biashara zake bado hana ushawishi wa kuniweka dilema.Nimemwambia mapenzi kwa sasa sipendelei na namuheshimu sana japo yeye hatambui hilo.
  13. S

    Dini,nafsi na utu wangu vitanisuta nikikubali

    Hapana na wala sitaraji maishani.
Back
Top Bottom