Dini,nafsi na utu wangu vitanisuta nikikubali

astakhafillah laaziz! Hii kitu gani tena? Kwa nn hataki kukupa mbele? Huyo hafi,kuna jamaa ameshawazoesha hako kamchezo. Cku wakikukuta watakugeuza na wewe.

Nimekataa,na nimemjuza sitaki kwani nimeamua kufanya biashara kwa malengo na si mapenzi.
 
Your authority to overcome that woman, is the granted authority you have to succeed over your self employment carrier ... You loose to her, you have lost your carrier and you r an inferior victim to your environment smithing you wont wish to become...!!

I hope to overcome tha ctuatiön.
 
Pole sana. Ingawa hakuna dhambi ndogo, likini hiyo ya kuruka ukuta ni Noma. Angetaka kwa njia ya kawaida, ningekushauri upate kitu roho inapenda. Lakini sasa kama ni huo ukuta.......Kimbia sana wala usiangalie nyuma.

Sitaki na nakiri kuwa nimekataa,kwa sasa mapenzi hayana nafasi.
 
OGOPA NYUMA kama ukoma ndugu yangu ni kinyume na maadili ya mwenyezi Mungu
 
Back
Top Bottom