Recent content by steven senkondo

  1. S

    Nape Nnauye apata ajali Kilwa, alikuwa akitokea Dar kuelekea Lindi

    Na bado atatoka hadharani kidhihaki watu..akili hekima ndogo.nadhani labda sasa atapata japo somo dogo kua kuna mwenyezi mungu na kauli za zinaonyesha kipuri ataacha sasa
  2. S

    Kiongozi mkubwa BAVICHA kujiunga na UVCCM kesho

    Na kuna clips tunazisubiri star tv za cheap propaganda...ni shida kua kila mnachopanga kinajulikana nakua pre emptied..
  3. S

    Vurugu Tunduma: Vijana Wawili wapoteza Maisha

    Ccm walifanya jambo kama hilo kwa kukata bendera za chadema almanusura fujo itokee polisi wakaingilia kati..hofu yangu ccm wataanzisha fujo zisinzo na msingi
  4. S

    Humphrey Polepole atakuwa channel 10

    Pole ndo nani...anajitutumua hana lolote hatuna muda tushampuuza zamani
  5. S

    Maandamano ya CHADEMA ya Wafuasi wa Dr. Slaa Jijini Mwanza

    Wekeni picha kama za wale wa dar walivyopata kichapooo
  6. S

    Mbwambo: Simamia ukweli, hata ukibaki peke yako

    Mtachonga weeeeeee...mabilioni wanampenda..na nyerere alishasema anaependwa na wengi hilo ndo chaguo la wengi...hakuna msafi heri huyo mbaesema hafai lakini kwa nini watu wanampendaaaa..inamaana watee hawaelewi nyie mbaesema lowasa mbaya au ubaya wake mnaujua nyie tu...
  7. S

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Mi nimechokaaaa.na kesho sahauniiiiiiiii umeme nchi nzimaa
  8. S

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Hilo ni tamasaha kama la serengeti fiesta tushazoea matamasha tena mengine tunatoa kiingilio...
  9. S

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Kwa sasa kuna mafuso mpaka magari ya taka yanapakia watu wanyonge..kwa kurubuniwa t shirt na buka kadhaa..Mabasi ya UDA nayo yanapakia buree kuelekea jangwani. Wasanii naskia 50...woteeee nikajaribu kutia hamasa ila nisawa nakumlisha mbuzi siku ya mdana ukitegemea atanenepa...
  10. S

    Yaliyojiri Mkutano wa Kihistoria wa CHADEMA Mwanza, Ulirushwa live kwenye TV na Radio

    Mh.ritz tunajua kua hata nafsini mwako unajua watanzania wamechoka na kuburuzwa....
  11. S

    Yaliyojiri Mkutano wa Kihistoria wa CHADEMA Mwanza, Ulirushwa live kwenye TV na Radio

    Mimi nipo arusha na muda huu nipo moshi hakuna umeme
  12. S

    Yaliyojiri Mkutano wa Kihistoria wa CHADEMA Mwanza, Ulirushwa live kwenye TV na Radio

    Statement za prof.kwa nchi za wenzetu ni nzito sana
Back
Top Bottom