Na bado atatoka hadharani kidhihaki watu..akili hekima ndogo.nadhani labda sasa atapata japo somo dogo kua kuna mwenyezi mungu na kauli za zinaonyesha kipuri ataacha sasa
Ccm walifanya jambo kama hilo kwa kukata bendera za chadema almanusura fujo itokee polisi wakaingilia kati..hofu yangu ccm wataanzisha fujo zisinzo na msingi
Mtachonga weeeeeee...mabilioni wanampenda..na nyerere alishasema anaependwa na wengi hilo ndo chaguo la wengi...hakuna msafi heri huyo mbaesema hafai lakini kwa nini watu wanampendaaaa..inamaana watee hawaelewi nyie mbaesema lowasa mbaya au ubaya wake mnaujua nyie tu...
Kwa sasa kuna mafuso mpaka magari ya taka yanapakia watu wanyonge..kwa kurubuniwa t shirt na buka kadhaa..Mabasi ya UDA nayo yanapakia buree kuelekea jangwani.
Wasanii naskia 50...woteeee nikajaribu kutia hamasa ila nisawa nakumlisha mbuzi siku ya mdana ukitegemea atanenepa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.