Hata hivyo SAUT hawana tena wafuasi walishakimbia Chama. Chadema Saut hakina Mashiko kaka Hapa ni CCM tu wengi wamerudisha kadi. Na huyo Mbowe hawezi kuja hana wafuasi tena kwani mwezi Wa kumi aliahidi kuja lkn waapi alikuwepo mwanza akatokomea Hotelini hakutoka kwa kuwa hakuna wafuasi tena hii...
Kuna vitu ambavyo lazima tuyaangalie kwa undani. Walichokifanya Clouds ni kitu cha kuigwa kutumia Jingle ya sauti ya Rais wangu ni kuwaambia watanzania kuwa wanazo Baraka zote toka kwa Rais.
Rais anatoa shukurani zake na kutuaminisha watanzania Fursa ilikuwa ya kuigwa.
Tuache kuwa biased...
Ki halisia inawezekana Zitto anapokea fedha hiyo Lakini haitumii yeye Binafsi bali kwa maendeleo ya jamii yake
Hili nalo ni la kuangaliwa.
Na kama hapokei kabisa ni mfano mzuri wa kuigwa na ningemshauri apokee na afungulie miradi ya maendeleo mengi zaidi Jimbon kwake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.