Ujinga mtupu umeandika. 2030 October Samia anaachia nafasi ya urais atakuja mwingine.
Za chini ya kapeti zinasema hatakuwa muislam wala mkatoliki, anaweza kuwa dhehebu jingine.
Hayati JPM aliwaambia wao na familia zao wakae mbele kabisa kwenye hayo maandamano.
Samia walimuona mwanamke wakajua hana uwezo wa kuwafanya lolote, kosa kubwa sana watalijutia mpaka siku yao ya mwisho duniani.
Chuki nyingi zinaletwa na habari za uchochezi ambazo asilimia 95 ni za kubuniwa na watu wanaoongozwa na ubaguzi ndani ya nafsi zao.
Chuki zikiwajaa vijana wanakuwa wale waliofanya vurugu October 29, walijazwa ujinga kwa miezi zaidi ya sita mfululizo walipoingia barabarani na kufanya zile vurugu...
Vijana walioandama October 29 wakaishia kupigwa risasi lazima waje na maandiko mengi ya kujiliwaza kupitia kifo cha Lukuvi.
Kifo ni kwa kila mtu anayepumua juu ya uso wa dunia, sehemu ya asili ya binadamu.
Heshima kwa serikali iliyo madarakani pia ni lazima iwepo, ukikosa heshima tegemea...
Dola lazima iheshimiwe huwa haichezewi hata siku moja. Chezea ndevu za babu yako nyumbani kwenu usichezee dola.
Aliyewatuma vijana akiwaambia kwamba wafanye machafuko yenye nia ya kupindua nchi aliwaingiza chaka baya sana.
Wasingejifanya vichwa ngumu wasingeuwawa kwa kiasi kile, tarehe 9 na...
Mbona wewe hujatekwa upo salama mbele ya laptop yako unaandika ujumbe huu kwangu?.
Wale wanaojifanya vichwa ngumu kila siku wanatukana viongozi mitandaoni wanajiwekwa kwenye hatari ya kutekwa.
Mwalimu Nyerere alisema angekuwa na uwezo angevisogeza visiwa vile mbali na pwani ya Bara, jiulize kwa kina kwanini alisema vile.
Msikilize Marehemu Lukuvi video yake kuhusu Zanzibar inatembea sasa hivi whatsapp.
Yeye mwenyewe aliniambia kwamba yupo hapa Tanzania lakini ni balozi kule Dubai, akaniambia anafundisha shule ya diplomasia, wakati huo hizi video zake hazijaanza kusambazwa instagram.
Hiyo ilikuwa mwaka jana mwanzoni. Mtu mzima hawezi kunidanganya mimi mtu mzima mwenzake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.