Recent content by Steven Joel Ntamusano

  1. S

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Wajinga wengi wanaongea hovyo wakitumia simu kujirekodi. Kuna yule dada Recho kila akifungua mdomo wake ni wendawazimu mtupu unamtoka kichwani mwake.
  2. S

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    Unaweza kudhani mtu ana afya njema kumbe mgonjwa anaishi kwa vidonge vya kuongeza nguvu.
  3. S

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    Unaweza kuwa mtu wa mazoezi kila siku bado ukafa ghafla, mapenzi ya Mungu yanatimizwa kwa njia yoyote ile.
  4. S

    Makonda, Kumbe kuna Watu wanapanga Njama za Kuharibu na Kudhoofisha jitihada za Rais Samia katika uongozi wake kwa Ndoto za 2030? Ni kina nani hao?

    Ujinga mtupu umeandika. 2030 October Samia anaachia nafasi ya urais atakuja mwingine. Za chini ya kapeti zinasema hatakuwa muislam wala mkatoliki, anaweza kuwa dhehebu jingine.
  5. S

    PostGE2025 Padre Kitima akumbushia matukio ya Oktoba 29 asema 'kesi za uvunjaji wa haki za binadamu hazifutiki'

    Hayati JPM aliwaambia wao na familia zao wakae mbele kabisa kwenye hayo maandamano. Samia walimuona mwanamke wakajua hana uwezo wa kuwafanya lolote, kosa kubwa sana watalijutia mpaka siku yao ya mwisho duniani.
  6. S

    PostGE2025 Padre Kitima akumbushia matukio ya Oktoba 29 asema 'kesi za uvunjaji wa haki za binadamu hazifutiki'

    Chuki nyingi zinaletwa na habari za uchochezi ambazo asilimia 95 ni za kubuniwa na watu wanaoongozwa na ubaguzi ndani ya nafsi zao. Chuki zikiwajaa vijana wanakuwa wale waliofanya vurugu October 29, walijazwa ujinga kwa miezi zaidi ya sita mfululizo walipoingia barabarani na kufanya zile vurugu...
  7. S

    Tegemea huu mwaka kuvunja rekodi ya vifo vya wabunge na mawaziri wa CCM wanaweza fika mpaka 30

    Vijana walioandama October 29 wakaishia kupigwa risasi lazima waje na maandiko mengi ya kujiliwaza kupitia kifo cha Lukuvi. Kifo ni kwa kila mtu anayepumua juu ya uso wa dunia, sehemu ya asili ya binadamu. Heshima kwa serikali iliyo madarakani pia ni lazima iwepo, ukikosa heshima tegemea...
  8. S

    PostGE2025 Padre Kitima akumbushia matukio ya Oktoba 29 asema 'kesi za uvunjaji wa haki za binadamu hazifutiki'

    Dola lazima iheshimiwe huwa haichezewi hata siku moja. Chezea ndevu za babu yako nyumbani kwenu usichezee dola. Aliyewatuma vijana akiwaambia kwamba wafanye machafuko yenye nia ya kupindua nchi aliwaingiza chaka baya sana. Wasingejifanya vichwa ngumu wasingeuwawa kwa kiasi kile, tarehe 9 na...
  9. S

    Thinking far: Kutangaza uwepo wa COVID-19 ni mkakati wa kutengeneza matukio?

    Mbona wewe hujatekwa upo salama mbele ya laptop yako unaandika ujumbe huu kwangu?. Wale wanaojifanya vichwa ngumu kila siku wanatukana viongozi mitandaoni wanajiwekwa kwenye hatari ya kutekwa.
  10. S

    Tanzania yakabidhi msaada wa chakula kwa Msumbiji

    Mwalimu Nyerere alisema angekuwa na uwezo angevisogeza visiwa vile mbali na pwani ya Bara, jiulize kwa kina kwanini alisema vile. Msikilize Marehemu Lukuvi video yake kuhusu Zanzibar inatembea sasa hivi whatsapp.
  11. S

    Kifo cha William Lukuvi na Jenista Muhagama. Ni fumbo kubwa linalotakiwa kufumbuliwa, Who is Next?

    Swali anaulizwa Mungu kuhusu nani aanze kufa na nani afuate.
  12. S

    Tanzania yakabidhi msaada wa chakula kwa Msumbiji

    Nimesoma katikati ya mistari hiyo sentensi yako nimeuona ubaguzi fulani, kinachofanyika Tanganyika kinafanyika pia Zanzibar huo unaitwa muungano.
  13. S

    Tanzania yakabidhi msaada wa chakula kwa Msumbiji

    Umeandika chuki zisizo na msingi.
  14. S

    Huyu Balozi Omar Kashera ni nani?

    Atakuwa amebadilishwa na Rais SSH lakini alishafanya kazi hiyo hiyo anayoifanya Yacoub.
  15. S

    Huyu Balozi Omar Kashera ni nani?

    Yeye mwenyewe aliniambia kwamba yupo hapa Tanzania lakini ni balozi kule Dubai, akaniambia anafundisha shule ya diplomasia, wakati huo hizi video zake hazijaanza kusambazwa instagram. Hiyo ilikuwa mwaka jana mwanzoni. Mtu mzima hawezi kunidanganya mimi mtu mzima mwenzake.
Back
Top Bottom