Recent content by Steven Joel Ntamusano

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mwaipopo kuruka hewani kuwakabili viongozi wa dini

    Deterrent measures.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Ndio hivyo tena, tumeikosa. Dangote

    Refinery ilikuwa lazima ijengwe Tanga, watanzania tukiwa na sifa ya kupinga kinachofanywa na serikali yetu haraka sana tukaanza kumpigia promotion Dangote bila ya kujua nini haswa ambacho serikali inaweza kukifanya chenye faida kwa miaka mingi ijayo.
  3. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Uganda inatuhumiwa kuingiza wanajeshi siku ya Uchaguzi, Jaji wa Uganda ataweza kuichunguza nchi yake?

    Hakuna mwanajeshi wa Uganda aliyekuja kuzima vurugu za uchaguzi mkuu, wahuni walishughulikiwa na vijana wa hapa hapa nchini. Mmepatwa na wasiwasi mkubwa baada ya tume nyingine kuundwa na Rais SSH, mkae kwa kutulia.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Anakuja Tanzania kuwekeza kwenye refinery haji kununua mafuta kwa Dangote. Wabongo mnashangaza sana pale mnapokasirika kuiona serikali imepata mbia wa kufanya nae biashara pamoja na serikali ya Uganda. Dangote imekula kwake kwenye suala la ujenzi wa refinery, hivi sasa anawapiga simu viongozi...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Acha uongo wa kitoto mkuu, Vitol na Dangote makampuni mawili tofauti kabisa. Matajiri wanajuana na wanakutana kwenye biashara zao kubwa lakini hawana uhusiano wowote wa karibu wa kibiashara.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

    Mtafute port manager wa TPA atakupa taarifa za kisasa zaidi.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

    Ungeanza kwanza kumuomba radhi Mangungo wakati serikali ya Mkapa ilipoingia mkataba wa miaka 30 na TICTS ukaja kuvunjwa mwaka 2018.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

    Tafuta uelewa kabla ya kuponda usicho na uelewa nacho.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Mpuuzi sana huyu jamaa, yeye na chama chake walikuja na mikwara ya Rais SSH kushtakiwa kule ICC lakini muda unakwenda na hakuna la maana linalofanyika.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Mnahangaika bure tu. Afcon itachezwa hapa Tanzania kwa muda wa mwezi mzima mapema mwakani.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya Rais Samia na marais wengine waliomtangulia

    Hawa hawana uchungu na Tanzania kinachowaumiza vichwa ni njaa zao zinazowafanya wajikombe kwa wazungu wakiwa tayari kuiletea majanga nchi pekee waliyonayo.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya Rais Samia na marais wengine waliomtangulia

    Inaonekana SSH anao uwezo wa kuongea na marais wake, uwezo wa kujishusha na kuwa katika ngazi moja ya kibinadamu na yule anayeongea nae. Hana kujikweza hatangulizi majigambo na ujuaji katika ukuzaji wa uhusiano na marais wa mataifa mengine. Hao CHADEMA ni wa kuhurumiwa tu, walitaka mpaka muda...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Ujio wa Jenerali El-Sisi ni uchukuliwe kwa tahadhari kubwa sana

    Angalau unaongea kwa kutumia akili iliyo wazi kuliko wale jamaa zetu wa 'pingapinga'.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Mbona Stori ya Tanzania kupewa Bilioni 2.6 na Marekani imeripotiwa sana. Kuna nini?

    Pigo kubwa kwao hao waliotegemea kumuona Trump akiivamia Tanzania kisha akamchukua SSH. Adui wa Tanzania ni ujinga unaoishi vichwani mwa watanzania bila kulipa kodi yoyote, mtu asiyependa cha kwake ni rahisi sana kumtawala. Nakumbuka namna wazungu walivyokuwa wakitucheka kwa jinsi...
Back
Top Bottom