Refinery ilikuwa lazima ijengwe Tanga, watanzania tukiwa na sifa ya kupinga kinachofanywa na serikali yetu haraka sana tukaanza kumpigia promotion Dangote bila ya kujua nini haswa ambacho serikali inaweza kukifanya chenye faida kwa miaka mingi ijayo.
Hakuna mwanajeshi wa Uganda aliyekuja kuzima vurugu za uchaguzi mkuu, wahuni walishughulikiwa na vijana wa hapa hapa nchini.
Mmepatwa na wasiwasi mkubwa baada ya tume nyingine kuundwa na Rais SSH, mkae kwa kutulia.
Anakuja Tanzania kuwekeza kwenye refinery haji kununua mafuta kwa Dangote.
Wabongo mnashangaza sana pale mnapokasirika kuiona serikali imepata mbia wa kufanya nae biashara pamoja na serikali ya Uganda.
Dangote imekula kwake kwenye suala la ujenzi wa refinery, hivi sasa anawapiga simu viongozi...
Acha uongo wa kitoto mkuu, Vitol na Dangote makampuni mawili tofauti kabisa.
Matajiri wanajuana na wanakutana kwenye biashara zao kubwa lakini hawana uhusiano wowote wa karibu wa kibiashara.
Mpuuzi sana huyu jamaa, yeye na chama chake walikuja na mikwara ya Rais SSH kushtakiwa kule ICC lakini muda unakwenda na hakuna la maana linalofanyika.
Hawa hawana uchungu na Tanzania kinachowaumiza vichwa ni njaa zao zinazowafanya wajikombe kwa wazungu wakiwa tayari kuiletea majanga nchi pekee waliyonayo.
Inaonekana SSH anao uwezo wa kuongea na marais wake, uwezo wa kujishusha na kuwa katika ngazi moja ya kibinadamu na yule anayeongea nae.
Hana kujikweza hatangulizi majigambo na ujuaji katika ukuzaji wa uhusiano na marais wa mataifa mengine.
Hao CHADEMA ni wa kuhurumiwa tu, walitaka mpaka muda...
Pigo kubwa kwao hao waliotegemea kumuona Trump akiivamia Tanzania kisha akamchukua SSH.
Adui wa Tanzania ni ujinga unaoishi vichwani mwa watanzania bila kulipa kodi yoyote, mtu asiyependa cha kwake ni rahisi sana kumtawala.
Nakumbuka namna wazungu walivyokuwa wakitucheka kwa jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.