Recent content by Steven Joel Ntamusano

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mkimbize Mzee Warioba London achekiwe, thoroughly checkup ya afya yake. Achana na hospital za hapa watamfuata huko wahuni

    Miaka 85 umri wake mkubwa sana, liangaliwe na hilo.
  2. S

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Unyani umetujaa.
  3. S

    JamiiForums Tanzania PICHA: Ukweli wa asili ya Deo Ndejembi - Mama yake alikuwa na asili ya Kiarabu

    Marehemu Mzee Pancras Ndejembi ni Babu yake Deo Ndejembi.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Barua ya Nchimbi ilifichwa

    Pombe kali.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Suala la Lissu linazidisha kuzamisha serikali ya Samia kwenye kina kirefu sana Ukijumlisha na la Polepole Mungu tu asandie

    Acheni kujidanganya, inakuwaje kakutwa na kesi ya kujibu?.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Suala la Lissu linazidisha kuzamisha serikali ya Samia kwenye kina kirefu sana Ukijumlisha na la Polepole Mungu tu asandie

    Hakuna anayetaka kuona Lissu akipewa adhabu kubwa. Lakini ushahidi wa video upo ukimuonyesha TAL akijenga hoja iliyojaa chuki kubwa dhidi ya serikali ya Samia pia ipo video nyingine ikimuonyesha Heche akirudia ujumbe ule ule wa TAL kuhusiana na 'kukinukisha'. Sioni ni kwa namna gani Lissu...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Mwaipopo kuruka hewani kuwakabili viongozi wa dini

    Deterrent measures.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Ndio hivyo tena, tumeikosa. Dangote

    Refinery ilikuwa lazima ijengwe Tanga, watanzania tukiwa na sifa ya kupinga kinachofanywa na serikali yetu haraka sana tukaanza kumpigia promotion Dangote bila ya kujua nini haswa ambacho serikali inaweza kukifanya chenye faida kwa miaka mingi ijayo.
  9. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Uganda inatuhumiwa kuingiza wanajeshi siku ya Uchaguzi, Jaji wa Uganda ataweza kuichunguza nchi yake?

    Hakuna mwanajeshi wa Uganda aliyekuja kuzima vurugu za uchaguzi mkuu, wahuni walishughulikiwa na vijana wa hapa hapa nchini. Mmepatwa na wasiwasi mkubwa baada ya tume nyingine kuundwa na Rais SSH, mkae kwa kutulia.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Anakuja Tanzania kuwekeza kwenye refinery haji kununua mafuta kwa Dangote. Wabongo mnashangaza sana pale mnapokasirika kuiona serikali imepata mbia wa kufanya nae biashara pamoja na serikali ya Uganda. Dangote imekula kwake kwenye suala la ujenzi wa refinery, hivi sasa anawapiga simu viongozi...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Acha uongo wa kitoto mkuu, Vitol na Dangote makampuni mawili tofauti kabisa. Matajiri wanajuana na wanakutana kwenye biashara zao kubwa lakini hawana uhusiano wowote wa karibu wa kibiashara.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

    Mtafute port manager wa TPA atakupa taarifa za kisasa zaidi.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

    Ungeanza kwanza kumuomba radhi Mangungo wakati serikali ya Mkapa ilipoingia mkataba wa miaka 30 na TICTS ukaja kuvunjwa mwaka 2018.
Back
Top Bottom