Habarini wadau wa JF.
Miaka ya Hivi karibuni kumekuwa na Motivation speakers wengi wakiwa na Bidii ya kuwaaminisha watu Fanya hiki au kile ili uwe UTAJIRI.
Swali langu ni hili ni kweli kwamba Kuna UTAJIRI wa njia Halali YAANI yule mtu ambaye anajuhudi tu katika kazi/biashara yake/zake akawa...
Inawezekana kama ulivosema ila tanguliza kusudi lako kuliko Tamaa ya kufanikiwa nkimaanisha usitake kulazimisha kusoma degree ili uje kulipwa pesa nyingi kwa kitu pia usichokipenda baadae kumbe Kuna fani nyingine za diploma nzur ambazo untafanya kazi na kuenjoy maisha Yako.....so hko...
Kama mwanamke kwa maamuzi yake atakomaa asibadili dini
Kama mwanamke kwa maamuzi yake atakomaa kutobadili dini boss piga chini hutoweza huo mziki na shkuru Bado hujampa ujauzito.
Hapana...90% ya malalamiko atayokwambia anaumwa sio ugonjwa ila Hayo mapepo na lengo ni kukuachanisha tu na wewe hamna kingine Yani Huwa wanataka akae yeye kama yeye so ukimuacha kibinadamu yy atajisikia vibaya ila kwa Hayo madude yatakua yamefurah na hii yote inatokea kutokana na Imani Yako...
Inawezekana lipo kusudi la kukutanishwa nae.
Kama umempenda unaweza kumsaidia kwani hakuna kinachoshindikana kwa MUNGU ila kabla ya kuanza kumsaidia hakikisha unakuwa na vitu vifuatavyo
1. Uwe vizuri kiimani yaani uwe unajua kuomba vizur, Kusali na kutoa sadaka.
2. Uwe jasiri na mwenye msimamo...
Mbona kafafanua vizur tu au ww ndo unalazmsha kutomuelewa coz wangapi wamejikuta wanadaiwa kwa sababu mtu flan kukopa bank au kampun flani ya kifedha kwa kutumia credentials zake.
Kuna tukio lilitokea mwaka jana la mume kujiua baada ya mke kukopa fedha nyingi kwa kutumia jina la mume wake na...
Kutafuta mwenza wa maisha kwa kutegemea utashi,Elimu,pesa au akili zako mwenyew ni kazi sana hata Mimi nilipitia changamoto sana za kutafuta mwenza baada ya kuhitimu chuo ila namshkuru MUNGU alinipatia MKE MWEMA asee ingawa haikuwa rahisi.
Binafsi baada ya kuchoshwa na mambo ya wanawake...
"Biashara ni wewe mwenyew" mambo ya kusema wewe unakunja 4 unategemea mtu humjui hakujui et akufaidishe ww Mhh sahau, Kama unanunua bodaboda, bajaji sijui umefungua salun hakikisha unaiendesha ww mwenyew au kama ni ofisi na umeajiriwa hakikisha unatenga masaa Yako kadhaa ya kukaa kwenye ofisi...
For my Experience, Hardworking is Good kama ni Self employed but kama ni private/Government Employed Mhh Nowadays people don't care my furendi even your Boss don't care wakati wewe ukiendelea kuichosha akili na mwili kwa Expectations za kuwa promoted/salary increments utaishia tu kupewa vijisifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.