Asee sidhani kama kuna haja ya NK kuomba amani wakati adui (US) kashatangaza vita.Mapanki akaze shujaa ni yule anaefia vitani sio maneno mengi mtaani.Hawa US kuwa super power sio sababu ya kutia mkwara nchi zingine....mi nataka bwana mapanki akaze tu regardless what,haiwezekani demu wako ashikwe...
Wakuu naomba kujua nini hasa sababu ya msingi ya US kutaka kuivamia NK,na kama ni ishu ya Nuclear weapon je ni nani anapaswa kuzimiliki na nani hapaswi kuzimiliki na kwa sheria ipi?Je Marekani ana mamlaka gani kwenda kuattack NK,hakuna mamlaka ya dunia mfano UN inapaswa kuhandle ishu kama hizo...
Wakuu msiombe yawakute haya mambo yaliomkuta Roma,tuyasikie tu na kuchangia kwa kuwa tupo huru....yakikukuta hutanyanyua mdomo,kuna watu si wema duniani hasa wanapoahidiwa hela kwani husahau ubinadamu na kujivika ushetani.
Kila mtu afate roho yake inapopenda,ndo maana mungu kaweka binadamu wa species tofautitofauti mabonge,vi-mbu,wenye vitambi,watafuta 6 park.....so we komaa na choice yako dont pick the wrong choice alaf uje ulalamike hapa
Nakimbia kuzunguka uwanja wa mpira,natumia raba za kawaida (wanaziita simple zina soli ya kawaida). Huenda ikawa ni sababu ya maumivu ya magoti...........Je nitumie raba zenye soli ya aina gani,na sehemu gani ambayo napaswa kufanyia mazoezi ya kukimbia?
Habari zenu wakuu,
Takribani wiki moja sasa imepita nimekuwa nikikabiliwa na tatizo la maumivu ya magoti,hali hii imesabababishwa na mazoezi ya kukimbia kila siku asubuhi uwanjani katika jitihada za kutengeneza afya.
Naomba kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na wenye uzoefu na hili jambo...
huyo mwanamke ameonesha kutokumjali kamanda wala hana hata chembe ya upendo....kamchukulia easy bila kujali jamaa katoka kufanya hustling za maisha then yeye hata kuonyesha mahaba kumfanya jamaa arelax mentally and physically...yeye alichoona cha msingi ni kudai hela ya kununua nguo,hajui...
hata YUDA mwanafunzi wa Yesu alitumia mwamvuli wa kuwapo miongoni mwa wanafunzi YESU but still alimsaliti YESU....the fact is the true colour you have is within your heart....potezea kuvaa MAPETE coz kama huna mapenzi ya dhati kwa yule uliemvalia pete....sisi wapita njia we dont care as long as...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.